- Thread starter
- #21
riba ni nini hakuna biashara isiyo na riba,ko hata ukinunua kitu kw Mia 500 na ukauza 700 ,hiyo 200 ya faida ni sawa na riba tu,Kama unataka uhalali labda uuze mia500 hiyohiyo,ko Cha msingi ni kufanya Jambo ambalo halimzulu mwingineHiyo ni interest mzee , Ni riba , Ni haramu
Allah akujalie biashara halali yenye kukuingizia kipato halali
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app