Kutaka kuboreshewa kipato ndio usaliti? Wewe unafikiri asingeanzisha hili timbwili kuna mtu angemjali? Na isiwe kwa Fei tu wachezaji wote wazawa warekebishiwe maslahi yao ili wacheze kwa moyoNdio karudi nimethibitisha Kwa macho yangu kumwona avic usiku wa leo.
Japo ndio hivo washabiki wa damu tumepoteza imani nae.
Hatutaki wachezaji wasaliti Yanga
Watu wengine wana ushabiki maandazi awajui kuwa kuna maisha baada ya mpiraAcha ujinga wewe, Fei ni muajiliwa kama waajiliwa wengine, yupo Yanga kutafuta malisho na si kumfurahisha mtu. Kama kasaini mkataba au kaboresha mkataba ni kheri kwake maana atapata alichohitaji.
Ukiwa na akili timamu utagundua Feisail na Yanga walishindwana kwenye maboresho ya mkataba na sio kwamba analalamikia alichokisaini mwanzo.Hivi unamlaumu vipi mwajiri Kwa kukulipa mshahara uliosaini mwenyew kwenye mkataba kisa kuna waajiliwa wenzako wanalipwa zaidi yako??
Huyu dogo angeenda tu, hii u turn yake inaenda kumponza maana ile namba 10 tayari Azi master [emoji360] ameshaimiliki rasmi
Ana miaka mingapi?Fei nje umri umemuacha,angeenda ile 2019 baada ya afcon sawa so hii peak ingemkuta angalau Belgium au France tungebaki na Amunike wachezaji wengi wangeenda Ulaya
Kwahiyo ulitaka aendelee kulipwa 4m na kila baada ya game aje akutatue linda?Uliambiwa Yanga imemzurumu Feitoto? Au haikumlipa kulingana na matakwa ya mkataba wake?
Hebu nitolee upumbavu wako bladfakeni