malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu nauliza nilifanya vipimo vya utendaji kazi Figo tar16/8/24 mloganzila majibu yalikuja mkojo protein negative bun normal, creatinine norlmal, ila Jana uskiu nimekula sana ubwabwa kuamka asubuhi.
Nikaenda haja kubwa nyingi mno baada ya saa nikaenda Tena haja kubwa baada saa Tena tumbo likaanza uma chini yakitovu koote nikaenda harisha mara2.
Baada ya kuharisha hiyo saa tano asubuh sikuharisha Tena ikabaki tumbo kuuma kuuma Hadi saa kumi kula matunda na samaki likapoa.
Ila mkojo nilikua napata kidogo hapo nlikua nimekuamywa Lita 2 za maji mpaka kufikia saa moja nikaogeza Lita moja na nusu ya maji nimekunywa baada ya hapa Sasa ndo nkaaza pata mkojo mwingi naweka kwenye kopo Hadi mda huu nimefikisha Lita2 za mkojo hapo nimekunywa jumla maji tangu asubuh Lita 3.7mls.
Je, na tumbo chini ya kitovu limeacha uma saa kumi na moja je ntakua salama wakuu?
Nikaenda haja kubwa nyingi mno baada ya saa nikaenda Tena haja kubwa baada saa Tena tumbo likaanza uma chini yakitovu koote nikaenda harisha mara2.
Baada ya kuharisha hiyo saa tano asubuh sikuharisha Tena ikabaki tumbo kuuma kuuma Hadi saa kumi kula matunda na samaki likapoa.
Ila mkojo nilikua napata kidogo hapo nlikua nimekuamywa Lita 2 za maji mpaka kufikia saa moja nikaogeza Lita moja na nusu ya maji nimekunywa baada ya hapa Sasa ndo nkaaza pata mkojo mwingi naweka kwenye kopo Hadi mda huu nimefikisha Lita2 za mkojo hapo nimekunywa jumla maji tangu asubuh Lita 3.7mls.
Je, na tumbo chini ya kitovu limeacha uma saa kumi na moja je ntakua salama wakuu?