Pro Biznesi
Member
- Aug 7, 2019
- 9
- 10
Hiyo ni trade ya robot?View attachment 2416410
Risk ya robot kumbuka kama mtaji wako mdogo utalamba ile sadaka,utalamba yale mawe [emoji23]
Bila shaka ulinunua kwa Gasper Kessy.View attachment 2416410
Risk ya robot kumbuka kama mtaji wako mdogo utalamba ile sadaka,utalamba yale mawe [emoji23]
Umaskini unatokaje kwenye bahati nasibu?Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Forex ni biashara kama zingine tuu kwanza kujua si scam banks, bureau zinafanya na wengine. Yes kwa mtazamo wangu najua forex inaweza kumutoa kimaisha ila si rahisi. Dunia utaiona chungu ukuweka mtaji kwa broker alafu uamue kununua signals ni lazima upigwe tuu, ukiweka pesa akili yako tuu ikuambie buy/sell na huna knowledge utapigwa tuu, ukinunua robot lazima ubamizwe vilevile, na kierere ikizidi unapigwa na kitu kizito.Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Chukua huu ushauriForex ni biashara kama zingine tuu kwanza kujua si scam banks, bureau zinafanya na wengine. Yes kwa mtazamo wangu najua forex inaweza kumutoa kimaisha ila si rahisi. Dunia utaiona chungu ukuweka mtaji kwa broker alafu uamue kununua signals ni lazima upigwe tuu, ukiweka pesa akili yako tuu ikuambie buy/sell na huna knowledge utapigwa tuu, ukinunua robot lazima ubamizwe vilevile, na kierere ikizidi unapigwa na kitu kizito.
My advice is to take your time learn, practice na ujipe kazi nyingine kabla uamue kama sasa forex inakulipa.
Watu wanatafuta pesa KWa jasho afu wewe unataka watapeliwe..... Mungu anakuonaNajua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaski
INAWEZEKANA = NDIONajua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Bila shaka ulinunua kwa Gasper Kessy.
Alinichomeaga $3000 zangu
Ni simple but not easy.Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
MhhhhhNajua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Na vice versa....Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
Kama una pesa ya ziada kama una uhakika wa kuingiza pesa nje ya trading then anza ku trade otherwise SIKUSHAURI.Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao
Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.
Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?