Je, Forex Trading inaweza kunitoa kimaisha hapa Tanzania?

Je, Forex Trading inaweza kunitoa kimaisha hapa Tanzania?

Najua hii ni mada maarufu na nyeti kwa baadhi ya watu. Sababu ni kwamba Forex ni biashara ya kimtandao

Na nahitaji ushauri kama yupo mtu ambaye alishawahi kufanya kufanikiwa hii biashara ya mtandao ya Forex Trading.

Niambieni je ni kweli inaweza kumtoa mtu kwenye umaskini?
ELIMU ELIMU ELIMU,

Forex ni Biashara ambayo kufanikiwa kwake kunategemea mambo mengi saaana.
1. Je umesoma na kuelewa.
2. Je umetrade Kwa miaka mingapi , uzoefu.
3. Je huna papara.
4. Je unataka mafanikio ya haraka?
5. Unajisikiaje ukipoteza hela.
6. Je unajisikiaje ukipatia trade.
7. Je wewe ni mvumilivu hukati Tamaa.
8.......
9.....
10......

Unatakiwa ukae kwenye Game at least 2 years kidogo utaanza kuona uhalisia wa hii business.

Kumbuka kwenye Forex mtaji siyo Tatizo kikubwa ni knowledge.

Mfano mtu mwenye uelewa mzuri anaweza kuwa na $500 baada ya Miezi sita ikasoma $800


Mtu anayejua juujuu anaweza kuwa na $4000 baada ya Miezi sita akabakiwa na $ 2300


Forex inahitaji mda mwingi wa kujifunza pia unatakiwa uwe na kaxi nyingine ya kukupatia kipato kama ndo unaanza.

Kamwe usichukue signal Kwa mtu yoyote Yule, tengeneza strategy Yako ambayo ndo itakuwa msahafu Katika safari Yako ya trading.

All strategies are good, except we have bad Forex traders who trade with emotions.


Nakuthibitishia mafanikio yapo ila inahitaji mda mrefu kuyafikia pia itategemea na traits zako maana most of the time the market moves against normal human thinking. That is why 95% loose money in this game.

Kila la heri
 
ELIMU ELIMU ELIMU,

Forex ni Biashara ambayo kufanikiwa kwake kunategemea mambo mengi saaana.
1. Je umesoma na kuelewa.
2. Je umetrade Kwa miaka mingapi , uzoefu.
3. Je huna papara.
4. Je unataka mafanikio ya haraka?
5. Unajisikiaje ukipoteza hela.
6. Je unajisikiaje ukipatia trade.
7. Je wewe ni mvumilivu hukati Tamaa.
8.......
9.....
10......

Unatakiwa ukae kwenye Game at least 2 years kidogo utaanza kuona uhalisia wa hii business.

Kumbuka kwenye Forex mtaji siyo Tatizo kikubwa ni knowledge.

Mfano mtu mwenye uelewa mzuri anaweza kuwa na $500 baada ya Miezi sita ikasoma $800


Mtu anayejua juujuu anaweza kuwa na $4000 baada ya Miezi sita akabakiwa na $ 2300


Forex inahitaji mda mwingi wa kujifunza pia unatakiwa uwe na kaxi nyingine ya kukupatia kipato kama ndo unaanza.

Kamwe usichukue signal Kwa mtu yoyote Yule, tengeneza strategy Yako ambayo ndo itakuwa msahafu Katika safari Yako ya trading.

All strategies are good, except we have bad Forex traders who trade with emotions.


Nakuthibitishia mafanikio yapo ila inahitaji mda mrefu kuyafikia pia itategemea na traits zako maana most of the time the market moves against normal human thinking. That is why 95% loose money in this game.

Kila la heri
800-500=300
300/6=50
50/22=2.7
Yaani Una portfolio ya 500usd kwa siku unatengeneza faida ya dollar 2.7, go hard or go home
 
800-500=300
300/6=50
50/22=2.7
Yaani Una portfolio ya 500usd kwa siku unatengeneza faida ya dollar 2.7, go hard or go home
Huwezi kunielewa,
what matters is the system and longterm plan. Anza na hiyo $500 njoo baada ya miezi sita, na uhakika utakuwa umeiparua yote kwa tamaa za ku double account within a month

Risk management is the key, Narudia tena huwezi kunielewa
 
Huwezi kunielewa,
what matters is the system and longterm plan. Anza na hiyo $500 njoo baada ya miezi sita, na uhakika utakuwa umeiparua yote kwa tamaa za ku double account within a month

Risk management is the key, Narudia tena huwezi kunielewa
Of course I can't understand your trading plan
500usd for 2 usd per day
Is this trading or a joke
 
From my experience,

1. Ni LAZIMA uwe na kazi au biashara yenye kipato Cha uhakika.
-Kama wewe ni jobless HUTOBOI. Kwasababu utakua hutaki kupoteza kidogo ulicho nacho,
-Muda mwingi utakua unaangalia charts. Utakua unatafuta opportunities kila dakika.
-Kwasababu huna kipato cha uhakika/kueleweka hutakua na PATIENCE, hutaweza kusubiri opportunities sokoni.

2. Ni LAZIMA uwe na muda wa kujifunza na kufanya back-testing kila siku. Utayari wa kujifunza kila siku utakupa competitive advantage.

3. MTAJI MTAJI MTAJI
-Point hii inafuatana na point ya kwanza, kwasabab ukiwa jobless huwezi kua na mtaji wa kueleweka. Hata ukipewa zawadi ya $1000. Hutoboi kwasabab utakua na Fear of losing.
-Kwa Tanzania ukiwa na 4 digit USD account unaweza UKATOBOA.
-Ni vizuri kuanza na $+1000 as a beginner, tena usiogope kuipoteza (take it as expense of the business).

Ni hayo tu, zile issue za risk management zinakuja baadae.



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Of course I can't understand your trading plan
500usd for 2 usd per day
Is this trading or a joke
Very smal asiee sa unarisk kiasi gani au 1;1, anyaway kama unamaarifa atleast 10usd angalau kwa mwezi 250usd miez sita una 1500 ila utakuwa unacheza kwa mimi usd 500 kwa miez sita atleast imefika 5000usd Bila tamaa
 
Very smal asiee sa unarisk kiasi gani au 1;1, anyaway kama unamaarifa atleast 10usd angalau kwa mwezi 250usd miez sita una 1500 ila utakuwa unacheza kwa mimi usd 500 kwa miez sita atleast imefika 5000usd Bila tamaa
At least 10usd
Kwa mm natafuta 10-20 usd per day
Lkn Sio 2usd, big no
 
Very smal asiee sa unarisk kiasi gani au 1;1, anyaway kama unamaarifa atleast 10usd angalau kwa mwezi 250usd miez sita una 1500 ila utakuwa unacheza kwa mimi usd 500 kwa miez sita atleast imefika 5000usd Bila tamaa
Kwamba $500. Baada ya Miezi sita unakuwa na $5000? Aha ha haa


Nikuulize swali unaongea nadharia au Una trade real Account.? Na account yako ina bei Gani mpaka sasa?

Mind you strategy nyingi zina profit margin ya 45% hapo umeijtahifi Sana.

Kwenye Forex Hakuna daily profit utakuwa unadaganya watu,

Safari yangu ya forex sijawahi kuona set up kila siku, na kama Una trade real Account utakubaliana nami always win trades are small compared to losing trade.


Kama una strategy Hata ya Ku double dólar 500 Kwa miezi 2 naiomba Hapá kila mtu aone Tafadhali nami nitumie utakuwa unenisaidia sana

Kinacholeta Faida kwenye Forex ni R:R, labda kama tunaongea hapá kufurahisha jukwaa na kuvutia watu..

Nakuhakikishia Forex ni Biashara hatari na ngumu mno ukiwa na Tamaa pamoja na papara.


Kama dola 500, baada ya Miezi 6 unakuwa na dolar 5000 Kila mtu Angekuwa tajiri.

Maanake hiyo dola 5000 baada ya Miezi 6 mingine unakuwa Hata na dolar 60000, baada ya mwaka dolar 240,000. Achana na nadharia za kilimo cha matikiti boss.
 
Ushauri wangu ni chukua at least miaka 10 kujifunza hii Forex na usijifunze kwa kuangalia bali jifunze kwa kufanya. Forex ni sawa na biashara nyingine tuu but tofauti yake ni inafanyika mtandaoni. Naweza kutolea mfano mambo ya kilimo watu wengi wanaona ni rahisi kuyafanya kwakua tangu wakiwa watoto wadogo wamekua wakienda shambani na wazazi wao, hivyo kwenye forex nenda kwenye platform na mtu anaejua uendelee kutrade huku unajifunza na uwe tayari kupoteza zaidi ya milion 50 them ukija kuijua vizuri utakua umeshauaga umaskini
 
Ushauri wangu ni chukua at least miaka 10 kujifunza hii Forex na usijifunze kwa kuangalia bali jifunze kwa kufanya. Forex ni sawa na biashara nyingine tuu but tofauti yake ni inafanyika mtandaoni. Naweza kutolea mfano mambo ya kilimo watu wengi wanaona ni rahisi kuyafanya kwakua tangu wakiwa watoto wadogo wamekua wakienda shambani na wazazi wao, hivyo kwenye forex nenda kwenye platform na mtu anaejua uendelee kutrade huku unajifunza na uwe tayari kupoteza zaidi ya milion 50 them ukija kuijua vizuri utakua umeshauaga umaskini
Nashangaa vijana wanarahisha mambo that is why they are burning their accounts everyday.

Knowledge is a key towards the success of anything
 
Forex ni biashara kama zingine tuu kwanza kujua si scam banks, bureau zinafanya na wengine. Yes kwa mtazamo wangu najua forex inaweza kumutoa kimaisha ila si rahisi. Dunia utaiona chungu ukuweka mtaji kwa broker alafu uamue kununua signals ni lazima upigwe tuu, ukiweka pesa akili yako tuu ikuambie buy/sell na huna knowledge utapigwa tuu, ukinunua robot lazima ubamizwe vilevile, na kierere ikizidi unapigwa na kitu kizito.
My advice is to take your time learn, practice na ujipe kazi nyingine kabla uamue kama sasa forex inakulipa.
Take this to the nearest bank...hifadh na ufanyie kaz
 
Back
Top Bottom