Je, Freeman Mbowe ataibukia Chato kushiriki mazishi?

Je, Freeman Mbowe ataibukia Chato kushiriki mazishi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
FB_IMG_1589397986327.jpg

Hili ni swali ambalo watu wengi wanajiuliza, Freeman Mbowe anatajwa kama Mwanasiasa wa kisasa aliyekomaa kuliko yeyote kwenye siasa za Tanzania kulinganisha na hawa waliopo kwenye uongozi wa vyama vya kisiasa hivi sasa, huyu ni Gwiji la siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wako wanaoamini kwamba misukosuko aliyoipata kutokana na siasa za kishamba za Tanzania basi kama naye angekuwa mshamba basi mpaka muda huu tungemsahau.

Hajaonekana popote tangu msiba huu mkubwa utokee nchini , bali kuna tetesi kwamba huenda akaibuka siku ya hitimisho huko Chato, ngoja tuendelee kusubiri.
 
Wewe ndo unampangia au mnaona aibu asipoenda sasa mmeamua kumshauli kupitia jukwaa?

Sifa zoote hizo za nini wakati huwa mnasema nyie ni viburi msiosifia mtu?
 
Mbowe hata mimi nimeanza kumkubali uyu jamaa,ana hekima na busara,sio kama Lisu hana breki kumkinywa.

Kama Magufuli alivyoudhuria msiba wa kaka yake Mbowe natumaini Mbowe nayeye atarudisha fadhila.

Mungu mbariki Mbowe,,tehe,,tehe.
 
Mbowe yuko nje ya Nchi Mkuu. Sidhani kama atarudi kabla ya hiyo March 26. Na ndiyo sababu hata kwenye kumuaga Kijazi hakuwepo.
Asante kwa taarifa mkuu
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mbowe yuko nje ya Nchi Mkuu. Sidhani kama atarudi kabla ya hiyo March 26. Na ndiyo sababu hata kwenye kumuaga Kijazi hakuwepo.
Asiende kuzika, huko wanapakaa covid 19 tu. Hauoni viongozi makini akina Kagame na M7 hawajahudhuria nafikiri na Yule wa Burundi. Mbowe asiende maana kwa mkusanyiko ule tutazika wengine soon
 
Back
Top Bottom