Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni mwanasiasa mahiri sana anatufaa sana pale juu.
Hili ni swali ambalo watu wengi wanajiuliza, Freeman Mbowe anatajwa kama Mwanasiasa wa kisasa aliyekomaa kuliko yeyote kwenye siasa za Tanzania kulinganisha na hawa waliopo kwenye uongozi wa vyama vya kisiasa hivi sasa, huyu ni Gwiji la siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wako wanaoamini kwamba misukosuko aliyoipata kutokana na siasa za kishamba za Tanzania basi kama naye angekuwa mshamba basi mpaka muda huu tungemsahau.
Hajaonekana popote tangu msiba huu mkubwa utokee nchini , bali kuna tetesi kwamba huenda akaibuka siku ya hitimisho huko Chato, ngoja tuendelee kusubiri.
Dah nyie watu ni shida. Mnaringishia maiti na kuitembeza kama mmeshinda kombe!baada ya kuona upepo haupo kama walivyotaka
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaa! Wanatembeza utafikiri maandazi yaliyokosa mnunuzi. Yote hiyo ni kujaribu kuvuta hisia za watu ili angalau wapate huruma ya umma.Dah nyie watu ni shida. Mnaringishia maiti na kuitembeza kama mmeshinda kombe!
Alikwenda kwa sababu KAKA Mbowe alikuwa mjeshi tena Brig GenMbowe hata mimi nimeanza kumkubali uyu jamaa,ana hekima na busara,sio kama Lisu hana breki kumkinywa.
Kama Magufuli alivyoudhuria msiba wa kaka yake Mbowe natumaini Mbowe nayeye atarudisha fadhila.
Mungu mbariki Mbowe,,tehe,,tehe.
[emoji114][emoji114][emoji114][emoji917][emoji917]Mwenyekiti Mbowe ni kinara wa demokrasia Tanzania.
Na yeye aende kwasababu Magufuli alikuwa Rais wa nchi tena mtu wa Mungu na mkweli.Alikwenda kwa sababu KAKA Mbowe alikuwa mjeshi tena Brig Gen
Rest in peace LwabajeNa yeye aende kwasababu Magufuli alikuwa Rais wa nchi tena mtu wa Mungu na mkweli.
Mpaka umejua wanakesha bila shaka unakesha naoMbowe ana busara sana ataibuka sio kama wale vichaa wengine akina lema wanakesha Twitter ku comment na kutoa dhihaka
Hivi inasaidia nini? Whatever itakavyokua Magufuli kafa!! Ni mzoga hakuna anayejali tena! Hata mfanye nini haitabadilisha ukweli kua Magufuli kafa!!!!
Wawe walitaka vile au hivi magufuli kafa that's all!!
Mfano anaibuka vipi wakati majuzi hata kutoa nafasi KWA chadema kusema chochote mlishindwa? Huu msiba ni mkubwa,na ulihitaji kua na ratiba ya tahasisi mbambali kutoa neno hasa wawakilishi wa vyama Kama sehemu ya mshikamano, but wapi, leo mwamtaka mbowe aje msibani japo ni Jambo zuri but kamati ya mazishi KWA kiongozi inamapungufu Sana,iwe KWA kujua au kutojua
Hili ni swali ambalo watu wengi wanajiuliza, Freeman Mbowe anatajwa kama Mwanasiasa wa kisasa aliyekomaa kuliko yeyote kwenye siasa za Tanzania kulinganisha na hawa waliopo kwenye uongozi wa vyama vya kisiasa hivi sasa, huyu ni Gwiji la siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wako wanaoamini kwamba misukosuko aliyoipata kutokana na siasa za kishamba za Tanzania basi kama naye angekuwa mshamba basi mpaka muda huu tungemsahau.
Hajaonekana popote tangu msiba huu mkubwa utokee nchini , bali kuna tetesi kwamba huenda akaibuka siku ya hitimisho huko Chato, ngoja tuendelee kusubiri.
Hata kuwatambua tu wapinzani kwenye msiba imeshindikana..serikali ilitakiwa itoe MUALIKO rasmi kwa viongozi wa vyama vya siasa nchini.
..Magufuli alikuwa mwenyekiti wa ccm, hivyo ni ilitakiwa wenyeviti wenzake wa vyama vya siasa washirikishwe ktk kumuaga.
Thats power of nature!!kama vile lissu alivyokuwa hatashinda oct 2020,kujazana kwenye mikutano yake ilikuwa ni kupoteza muda tu.
Kinara wa demokrasia ipi? Amekuwa mwenyekiti kwa muda gn? Kung'ang'ania uenyekiti ni demokrasia? Ndo maana mnaburuzwa tu kama nyumbu!Mwenyekiti Mbowe ni kinara wa demokrasia Tanzania.
Kaja mwingine tumtungie nyimbo za kusifu na kuabudu Kama kawaida yetuKinara wa demokrasia ipi? Amekuwa mwenyekiti kwa muda gn? Kung'ang'ania uenyekiti ni demokrasia? Ndo maana mnaburuzwa tu kama nyumbu!