Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lazima kuufyataNini tena ?
Kwamba Chadema wameufyata au
Hivi inasaidia nini? Whatever itakavyokua Magufuli kafa!! Ni mzoga hakuna anayejali tena! Hata mfanye nini haitabadilisha ukweli kua Magufuli kafa!!!!baada ya kuona upepo haupo kama walivyotaka
Sasa unadhani pale atamuachia nani?Mbowe kwenye busara na break ya mdomo namkubali Ila shida yake kubwa ni uenyekiti. Haiwezekani ukae kwenye uenyekiti miaka 20 utafikiri hakuna wengine
Asante kwa taarifa mkuuMbowe yuko nje ya Nchi Mkuu. Sidhani kama atarudi kabla ya hiyo March 26. Na ndiyo sababu hata kwenye kumuaga Kijazi hakuwepo.
Asiende kuzika, huko wanapakaa covid 19 tu. Hauoni viongozi makini akina Kagame na M7 hawajahudhuria nafikiri na Yule wa Burundi. Mbowe asiende maana kwa mkusanyiko ule tutazika wengine soonMbowe yuko nje ya Nchi Mkuu. Sidhani kama atarudi kabla ya hiyo March 26. Na ndiyo sababu hata kwenye kumuaga Kijazi hakuwepo.
Kamanda hawezi kuingia kizembeAsiende kuzika, huko wanapakaa covid 19 tu. Hauoni viongozi makini akina Kagame na M7 hawajahudhuria nafikiri na Yule wa Burundi. Mbowe asiende maana kwa mkusanyiko ule tutazika wengine soon
Toka iletwe posa kwenh umekuwa hukosi maneno.Mbowe kwenye busara na break ya mdomo namkubali Ila shida yake kubwa ni uenyekiti. Haiwezekani ukae kwenye uenyekiti miaka 20 utafikiri hakuna wengine