Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unazani kesi ya jinai hiyo?Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.
How sure are u kwamba kaimbiwa yy? Jide n msanij so anaimba lolote analoona litaifaa jamii....maadamu gafner hajatajwa popote bhc hawez fungua kesi maana jide alitupa jiwe gizani.....Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.
Kila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Kuna pahala Gadner ametajwa katika huo wimbo?Kila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Kila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Hahahaha ila jamaa noma sanaalishamjibu yeye alisema alikua anamkojoza