Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
Labda kama Gardner angekuwa wa kwanza kumfukunyua jide hapo sawa .....ila jide kafukunyuliwa tokea enzi hizo.....Ushahidi wa kimazingira unamtia hatiani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama Gardner angekuwa wa kwanza kumfukunyua jide hapo sawa .....ila jide kafukunyuliwa tokea enzi hizo.....Ushahidi wa kimazingira unamtia hatiani.
Mwanamke nguvu yake ni maneno tuKila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Kuna mahala kwenye wimbo kamtaja? Pia ujue wasanii wanyoyaimba ni ujumbe kwa yale yanayotokea katika jamii si lazima kiwe kinaamhusu yeye 1/1. Ingekuwa hivyo basi vipi yule aliyeimba "hainaga ushemeji tunakulaga" unafikiri yeye hana mashemeji zake? Ni Sanaa tu na hakuna kesi ya hivyoKila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Defirmation ndo nini??
Oooh ok mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nahisi alimaanisha defamation [emoji23][emoji23]
ushahidi wa kimazingira hauwezi kutumika katika kila kesi....Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.
Thibitisha kama kaimbiwa yeye.Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.
Kitonga kinahusika sana hapiMkuu imekuuma sana!
Nyie Ndo mnasababisha wanaume wa DSM tunaonekana kituko!
Si ndo hapo sasaKwan alimtaja jina kwenye huo wimbo??...atashindwa kesi
Kamtaja kwa jina? Yasije yakawa yale yale ya HUYO JPM aliyetukanwa aje... Isije ikawa JUMA PONDA MALIKila nikiusikiliza wimbo wa Ndindindi wa Jaydee naona ni matusi matupu kwa Gadner, maana kuna maneno mengi ya kuudhi mara kichaa hawezi kupona n.k. Wadau kwa hili jamaa hawezi kufungua hata kesi ya madai kwa defirmation?.
Wewe ukiulizwa ndindindi kaimbiwa nani ukaahidiwa pesa, hutasema ni gardner?Kuna mahala kwenye wimbo kamtaja? Pia ujue wasanii wanyoyaimba ni ujumbe kwa yale yanayotokea katika jamii si lazima kiwe kinaamhusu yeye 1/1. Ingekuwa hivyo basi vipi yule aliyeimba "hainaga ushemeji tunakulaga" unafikiri yeye hana mashemeji zake? Ni Sanaa tu na hakuna kesi ya hivyo
unachosema ni sawa ila ushahidi wa kimazingira kwenye kazi ya kifasihi ya Jide ni ngumu kuthibitisha unamlenga yeye.Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.
Mimi ninavyojua hata ushahidi wa kimazingira kisheria unakubalika, jamii yote inajua kaimbiwa yeye.