African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
21 - 24km/LKm/ltr!?
Spare parts zinapatikana ila sijawahi ulizia beiVipi spare parts zake mkuu
Inafaa
Hee kama boxer 125!21 - 24km/L
Kwanini mkuu? Wateja ni wa mtandaoni.. au gari ikifika wakiiona hawatapanda?Ni ndogo Sana Hivyo inaweza kukosa wateja kwa wingi
Hiyo gari ni cc 660Hee kama boxer 125!
Itachemka Ujao Huo Ukitoka Ubungo Hadi Masaki Halafu Mfano Urudi PostalHiyo gari ni cc 660
Cc 660Ujazo Wa Engine Yake Upoje, Maana Ikiwa Ndogo Sana Inaweza Kushindwa Kufanya Kazi Siku Nzima
11m showroomBei gani haka
😃 Wese babaaaRUMION imekaa poa sana kwa taxi mtandao jichange uchukue hiyo