mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,652
- 4,468
Ndivyo itakavyokuwaKwanini mkuu? Wateja ni wa mtandaoni.. au gari ikifika wakiiona hawatapanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo itakavyokuwaKwanini mkuu? Wateja ni wa mtandaoni.. au gari ikifika wakiiona hawatapanda?
Hizi ni story mkuu. Mimi nimemliki passo miaka 2018 huko, ina cc 990 nilikuwa naipiga misele kweli nabeba mizigo napeleka airport kuna vitu nilikuwa nasafirisha karibu kila sku so misele ilikuwa salasala, posta, then wizara ya maliasili, then posta then airport unakuta nazunguka siku nzima na haikuwahi kuchemka.Itachemka Ujao Huo Ukitoka Ubungo Hadi Masaki Halafu Mfano Urudi Postal
Acha nijaribuNdivyo itakavyokuwa
Kama Bajaj inaweza gari itashindwaje?Data Ikiwa On Unapiga Kazi Muda Wote Hiyo Gari Haitaweza
af utakuta kuna mtu anaifunga gesi hii😁21 - 24km/L
piston 3 ni matatizo in the long runHiyo gari ni cc 660
Huyo kimahesabu atakuwa hajitambui......kuistall gas gharama yake ni Sawa na kununua mafuta ya Miaka mitatu kwa gari ya ujazo huo wa engineaf utakuta kuna mtu anaifunga gesi hii😁
Mfuko hauruhusu kwa sasaNunua IST
Kwanini mkuu?piston 3 ni matatizo in the long run
Hazina umadhubuti kama gari zenye engine kubwaKwanini mkuu?
Atakuuliza umadhubuti ni niniHazina umadhubuti kama gari zenye engine kubwa
Kinafaa.21 - 24km/L
Si kwelipiston 3 ni matatizo in the long run