Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Kuna msanii hata mmoja hapa tz anamiliki?yapo
Unavosema "DIAMOND MWENYEWE' Una maanisha nn... Yaani hiyo mwenyewe ina maana mwenyewe mmiliki wa kiwanda auBongo unatembelea wap diamond mwenyew anatumia BMW X6
[emoji120]Nunua lako
Nimemaanisha mtu anayependa sifa na uwongo mwingi angeenda hata kukodi ilimladi watu wamuone anasukuma RRUnavosema "DIAMOND MWENYEWE' Una maanisha nn... Yaani hiyo mwenyewe ina maana mwenyewe mmiliki wa kiwanda au
Gari zipi ni fake?1.hizo gari hazina fake so ukimuona mtu anayo ni OG
2.Bugatti na hizo zote ulizotaja zipo huko darisalama huwa naona kwenye picha ila ni za wafanya biashara
3. mkurugenzi wa clouds anasukuma Bentley , hivo wasanii kama ulivoulizia sidhani kama wanazo
Gari zipi ni fake?
Duniani kuna gari fake na original
Diamond is way overrated.Bongo unatembelea wap Diamond mwenyew anatumia BMW X6
Tanzania nchi ya amani ila inanunua silaha za kivita kila kukicha.Hayo maghari yanaweza kuwa yapo ila kunachangamoto ya utumiaji, mashimo barabarani, matuta kama ya viazi. Last but not least, hamna logic ya kunua gari linaloenda hadi 300kmh na zaidi na wakati muda wote kuna foleni na vibao vya 50 tele.
Gari fake.?brands za gari zilizotajwa hapo juu mfano ferrali, hakuna fake kwa sababu kampuni ni kubwa hizo utazitengenezea wapi fake ?
brands za gari zilizotajwa hapo juu mfano ferrali, hakuna fake kwa sababu kampuni ni kubwa hizo utazitengenezea wapi fake ?
Ferrari, Lambo na Rolls nimeshaziona kwa macho yangu bongo.
Nimesikia kuna Buggatti ila sijawahi kuiona.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
1.hizo gari hazina fake so ukimuona mtu anayo ni OG.
2.Bugatti na hizo zote ulizotaja zipo huko darisalama huwa naona kwenye picha ila ni za wafanya biashara.
3. mkurugenzi wa clouds anasukuma Bentley, hivo wasanii kama ulivoulizia sidhani kama wanazo
Ferrari, Lambo na Rolls nimeshaziona kwa macho yangu bongo.
Nimesikia kuna Buggatti ila sijawahi kuiona.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app