Je, gari hizi Bongo zipo? Je, watu gani maarufu wanatembelea?

Je, gari hizi Bongo zipo? Je, watu gani maarufu wanatembelea?

Duh kumbe kuna gari fake? Hebu tutajie mfano hata moja mkuu ili tusije kupigwa

mkuu, mimi nimesema hakuna gari fake wakati namkosoa huyo jamaa hapo juu aliyedai kuna gari fake
 
hakuna buggatti ila niliona aventador moja posta aisee hatari sana
Subpost 1 - Done!!! _joy_ - hotridesintanzania - lamborghini - photoshoped - spotted - h ( 465...jpg

Mkuu unaongelea hii??

Hiyo ni edit its not real.
 
Hizi gari bongo zipo kama hujaziona bahati mbaya tu kwako mkuu ni sijafanikiwa kuona buggati ila hizo zingine nimeziona huku Arusha sema ni adimu sana kuziona ukiiona leo inaweza piga hata mwaka hujaiona tena sijui wenyewe hawaziendeshi
 
1.hizo gari hazina fake so ukimuona mtu anayo ni OG.

2.Bugatti na hizo zote ulizotaja zipo huko darisalama huwa naona kwenye picha ila ni za wafanya biashara.

3. mkurugenzi wa clouds anasukuma Bentley, hivo wasanii kama ulivoulizia sidhani kama wanazo
Bugatti ipo dar[emoji44][emoji44][emoji44]
 
Back
Top Bottom