Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somo zuri
Yani hapa sielewi chochote [emoji28] ila naona mpo vizuri wakuu. I appeciate kazi yenu
Tairi ya gari kupiga kelele km mluzi fulani unapotembea all time baada ya kubadili brake shoe na bearing tatizo litakuwa nini na kuli solve
Apo cha msingi kama unapata ECU nyengine unaweka na kutest kuona, mana pia isijekuwa hio gari iliwahi kuchezewa wiring ikawa OBD2 port haifanyi kazi.
By the way, leo wakati nafanya Jumping, nimeshuhudia na ku confirm kuwa ECU kama ina immobilizer itakuja code 99 tu, kwenye ile project yangu hii code haikuwahi kutokea, nna machungu mafundi wiring wameniharibia control!
Hio yenye OBD1 under the dashboard ama passenger side unaweza ukakuta port ya kuscan using code reader.Hii gari haina port ya OBD 2 ipo ya OBD 1 tu...
Halafu kuna sehemu nimeona umesema kwamba unaweza kujump kwenye port ya OBD 2 na ukapata code, Hii inawezekanaje?
Hio yenye OBD1 under the dashboard ama passenger side unaweza ukakuta port ya kuscan using code reader.
Kwenye OBD2 port ku jump ni pin namba 4 na pin namba 13 kwa toyota/lexus, lakini kwa vile ipo standardized throughout all vehicles, hata brands nyengine itakuwa sawa. Ukijump unaweza kuona taa nyengine kama zote ivi zinablink blink ziikushtue, wewe anza kuhesabu check engine light inavo blink tu.
Unahesabu kuanzia juu kushoto.Hizo pini unahesabu kuanzia juu kushoto kwenda kulia?
Habari, baada ya kuona gari ina dalili ya kuwa na missfire na mshale wa rpm sometimes kubehave violent na kutowiana na ukanyagaji wa accelerator. Nikaamua kwenda kufanya diagnostic, matokeo niliyoyapata ni haya. Je, shida hapa yaweza kuwa nini. Nifanye nini ili hili tatizo litoke na hiyo miss ipotee.?
View attachment 1545511
View attachment 1545512
Unahesabu kuanzia juu kushoto.
Aiseee mbona kama hizo code ulizopata hazihusiani na tatizo unalosema?
Labda ujaribu kusolve hilo la o2 sensor kwanza tuone. Hiyo sensor yenye hiyo code huwa ipo baada ya catalytic converter, Lakini inainekana kama engine yako ni V-type. Hivyo ina catalytic conveter mbili na sensor kama hizo mbili. Sasa zijui kama utaweza kujua kwamba ni sensor gani ndio ina shida. Pia kagua kama kuna mahali kuna leak kabla ya catalytic conveter na kwenye intake manfold inaweza kupelekea hilo tatizo.
Aiseee mbona kama hizo code ulizopata hazihusiani na tatizo unalosema?
Labda ujaribu kusolve hilo la o2 sensor kwanza tuone. Hiyo sensor yenye hiyo code huwa ipo baada ya catalytic converter, Lakini inainekana kama engine yako ni V-type. Hivyo ina catalytic conveter mbili na sensor kama hizo mbili. Sasa zijui kama utaweza kujua kwamba ni sensor gani ndio ina shida. Pia kagua kama kuna mahali kuna leak kabla ya catalytic conveter na kwenye intake manfold inaweza kupelekea hilo tatizo.
Yah, ni V6, mark X, 250G., GRX engine code.
Hapo solve kwanza ishu ya Oxygen sensor. Kama tatizo lako halitaisha basi kuna sehemu ina shida na shida hiyo haijafikia hatua ya kuweka codes kwenye control box ndio maana mnapima na mashine hamuioni.
Hapa ndio umuhimu wa Live Data stream unapokuja...
Leak ya hewa...Leak ya oil ama hewa.? How about plug.? Nyiongeza, gari ilikuwa parked bila kuwashwa kwa kama siku 5 hivi. Siku nimekuja kuiwasha, single switch haikutosha kuiwasha. Ilibidi nirudie tena kupiga funguo ndo ikawaka, baada ya kuwaka ikawa inataka goma kupokea na kutetemeka/miss kama vile gari inayoishia mafuta. Niliisuport na kupiga race, ikakaa poa. Now ukiwasha inapokea vizuri tuu ukiwasha.
Though najua bado kuna shida na ipo siku itaniadhiri nisipopatarajia. [emoji23]
Leak ya oil ama hewa.?
How about plug.?
Nyiongeza, gari ilikuwa parked bila kuwashwa kwa kama siku 5 hivi. Siku nimekuja kuiwasha, single switch haikutosha kuiwasha. Ilibidi nirudie tena kupiga funguo ndo ikawaka, baada ya kuwaka ikawa inataka goma kupokea na kutetemeka/miss kama vile gari inayoishia mafuta. Niliisuport na kupiga race, baada ya muda ikakaa poa. Now ukiwasha inapokea vizuri tuu ukiwasha ingawaje violent RPM bado ipo mara chachechache
Though najua bado kuna shida na ipo siku itaniadhiri mahali nisipopatarajia.
Leak ya hewa...
Hiyo case ya kusumbua kuwaka baada ya siku tano bila kuwashwa inawezekana ni betri tu ilipungua kdg ndo maana ikafanya hivyo...
Kwa hiyo hayo matatizo ambayo inayo sasa hivi yalianza baada ya kuiacha siku 5 bila kuiwasha?