Je, gari yako inatetemeka, engine kumisi au ukiwasha inazima inapokuwa ya baridi?

Je, gari yako inatetemeka, engine kumisi au ukiwasha inazima inapokuwa ya baridi?

Usije kuwa uliweka mafuta mabaya...

Hiyo violent R.P.M ni ikiwa silent au hata ukiwa unaendesha?

Violent nikiwa naendesha, uendeshaji wangu nikiwa chini ya 100km/h huwa naendesha gari chini ya 2000 RPM na huwa najitahidi niendeshee hapo kwa maana huwa naacha RPM na engine ipokee taratibu bila kuiforce kufanya kazi.

Lakini kwa sasa naweza kuwa speed ya 50km/h ama 60 but RPM unakuta ipo 2500 huko ilhali nakuwa sijakanyaga sana mafuta na baada ya muda inarudi katika normal baada ya gia kujibadilisha. Plus ikiwa katika motion, unaweza shangaa RPM imetoka ghafla 2000 mpaka 2500 na kurudi 1800 then inarudi 2000.
 
Hapana, hilo la violent RPM ni muda at firrst ilifanya hivyo na kupelekea kuwaka check engine. Niliipeleka katika diagnostic, ikasoma msg fuel rail sensor fail (sikumbuki vyema exact words zilizodisplay katika scanner) ila baada ya hapo nilibadili pump ya kwenye tank na gari ilirudi normal violent RPM ikapndoka kabisa, until kuja kutokea hili tena....

Hilo la kushtuka ukiweka D kama ATF iko kwenye level inayotakiwa na haijachoka basi shida ipo kwenye Torque conveter, na mfumo wake wa umeme kiujumla(solenoid, wires n.k.)

Kuchelewa kubadili gear sijui inachelewa kubadili gear namba ngapi?
 
Violent nikiwa naendesha, uendeshaji wangu nikiwa chini ya 100km/h huwa naendesha gari chini ya 2000 RPM na huwa najitahidi niendeshee hapo kwa maana huwa naacha RPM na engine ipokee taratibu bila kuiforce kufanya kazi.

Lakini kwa sasa naweza kuwa speed ya 50km/h ama 60 but RPM unakuta ipo 2500 huko ilhali nakuwa sijakanyaga sana mafuta na baada ya muda inarudi katika normal baada ya gia kujibadilisha. Plus ikiwa katika motion, unaweza shangaa RPM imetoka ghafla 2000 mpaka 2500 na kurudi 1800 then inarudi 2000.

Kama hilo tatizo la rpm kubadilikabadilika linakukuta mara kwa mara basi Throttle Position Sensor ni kimeo.

Ila kama linakuja na kupotea basi wasiwasi wangu utakuwa kwenye mafuta yenyewe au kuna pressure ndogo kwenye njia ya mafuta...
 
Hiyo Hali ya gari kuzima yenyewe kipindi cha asubuh ilikuwa inanitokea mara nyingi Sana Ila nakumbuka niliongeza silencer kidogo kwasabb ilikuwa chini.

Mpaka nauza hii gari(Carina TI ) bado silencer yake IPO juu pale Kwenye moja( rpm 1) na kama utashusha silencer basi gari huwa inazima daily.....

Pengine Leo unaweza kunisaidia/kutusaidia Hilo TATIZO lilisababishwa na nini?
Same to me kwenye Carina,kwangu mimi ilifika wakati ili gari liwake ni lazima nitumie combination ya ignition switch na accelerator kwa wakati mmoja,na gari likiwa idle ni lazima nijitahd kuhakikisha RPM haishuki 1by pressing accelerator pedal sababu usipo balance pedal RPM inashuka 0 na gari huzima.

Nilijaribu kupandisha silence still haikusaidia,then kuna Fundi akanisaidia kuondoa hiyo changamoto just by applying greaser kwenye ki valve ambacho kipo sehemu ya intake ya hewa ambacho kutokana na umri wa gari kilikwama.
 
Violent nikiwa naendesha, uendeshaji wangu nikiwa chini ya 100km/h huwa naendesha gari chini ya 2000 RPM na huwa najitahidi niendeshee hapo kwa maana huwa naacha RPM na engine ipokee taratibu bila kuiforce kufanya kazi.

Lakini kwa sasa naweza kuwa speed ya 50km/h ama 60 but RPM unakuta ipo 2500 huko ilhali nakuwa sijakanyaga sana mafuta na baada ya muda inarudi katika normal baada ya gia kujibadilisha. Plus ikiwa katika motion, unaweza shangaa RPM imetoka ghafla 2000 mpaka 2500 na kurudi 1800 then inarudi 2000.
Umekagua fuel pressure regulator na transmission fluid ya gari lako..?
 
Same to me kwenye Carina,kwangu mimi ilifika wakati ili gari liwake ni lazima nitumie combination ya ignition switch na accelerator kwa wakati mmoja,na gari likiwa idle ni lazima nijitahd kuhakikisha RPM haishuki 1by pressing accelerator pedal sababu usipo balance pedal RPM inashuka 0 na gari huzima.Nilijaribu kupandisha silence still haikusaidia,then kuna Fundi akanisaidia kuondoa hiyo changamoto just by applying greaser kwenye ki valve ambacho kipo sehemu ya intake ya hewa ambacho kutokana na umri wa gari kilikwama.

IACV hiyo ndio ilikuwa inapelekea hiyo shida...

Ikikwama huku imefungua sana sailensa inakuwa juu na ukishusha haishuki.

Ikikwama huku imefungua kidogo basi ndo itakuwa inazima kila ukiwasha...
 
Kuna gari ina blink OD light na ikifanya hivyo gari huwa ina sleep mno na kukosa nguvu. Nimeifanyia diagnosis several times hakuna cha maana.
Control box imebadilishwa na zile Speed sensor ila bado ishu iko palepale.
Ushauri tafadhali..!
 
Kuna gari ina blink OD light na ikifanya hivyo gari huwa ina sleep mno na kukosa nguvu. Nimeifanyia diagnosis several times hakuna cha maana.
Control box imebadilishwa na zile Speed sensor ila bado ishu iko palepale.
Ushauri tafadhali..!

Gari aina gani na model ya mwaka gani?

Hiyo diagnosis uliyofanya ni ya Gearbox?

Kuna uwezekano valve body imejaa uchafu. Nijibu kwanza hayo maswali hapo juu.
 
Habari, baada ya kuona gari ina dalili ya kuwa na missfire na mshale wa rpm sometimes kubehave violent na kutowiana na ukanyagaji wa accelerator. Nikaamua kwenda kufanya diagnostic, matokeo niliyoyapata ni haya. Je, shida hapa yaweza kuwa nini. Nifanye nini ili hili tatizo litoke na hiyo miss ipotee.?

View attachment 1545511
View attachment 1545512
hio Miss yako inasababishwa na hio Oxygen sensor. Hio ni sensor inayokaa kwenye Cat converter. Nimeona umesema una Mark X which is V6, kama unaweza kupata chart ya kujua firing order ya hio engine, upande wenye cylinder no. 1 ni Bank 1 na upande mwengine ndio Bank 2
 
Leak ya oil ama hewa.? How about plug.? Nyiongeza, gari ilikuwa parked bila kuwashwa kwa kama siku 5 hivi. Siku nimekuja kuiwasha, single switch haikutosha kuiwasha...
Angalia,isije kuwa watu wamekula madini ya kwenye exhaust humo. Mafundi wa mjini na wajinga wachache wana tabia hiyo sana.

Kaguo kuona kama makinikia yapo
 
Hapana, hilo la violent RPM ni muda at firrst ilifanya hivyo na kupelekea kuwaka check engine. Niliipeleka katika diagnostic, ikasoma msg fuel rail sensor fail (sikumbuki vyema exact words zilizodisplay katika scanner) ila baada ya hapo nilibadili pump ya kwenye tank na gari ilirudi normal violent RPM ikapndoka kabisa, until kuja kutokea hili tena...
Inawezekana gearbox oil imekwisha nguvu yake. Waone mafundi waikague.

Hope gari yako ni 4WD, kama ndio hako kamshindo ni kawaida hasa kama bush na mounting haziko vizuri
 
Mkuu habari nashukuru sana kwa kuoa huu uzi wako.

Nina volkswagen polo ya 2006.. ina tatizo moja linafanana na uzi wako.

Napata shida kuliwasha asubuhi (au likiwa la baridi) naweza ku attempt mara kadhaa ndio inawaka... then inakua haina power kabisa so nakanyaga acceleration mpaka baada ya sekunde kadhaa ndio inapata power then inakua na nguvu kama kawaida. Au nkiwasha nakanyaga resi haraka ili isizime... Baada ya hapo haisumbui kuwaka tena mpaka asubuhi ikiwa ya baridi. Pia taa ya check engine ipo ON mda wote

Kuna fundi mmoja aliniambia tatizo ni oxygen sensor.. naomba kujua kwa utaalamu wako shida ni nini?

asante
 
Back
Top Bottom