Tibalikwenda
JF-Expert Member
- Aug 27, 2020
- 284
- 604
Mkuu uwa unajisikiaje ukipack mombo kula pembeni mwezio kapack kluger, jiran yako kapack harrier new model , alafu wote mnakwenda Moshi hua unajisikiaje hapo Mkuu? Hivi high way si unakua mnyonge sana kila gari inakupita?!Huwa nasafiri na IST Dar to Moshi, kituo kimoja tu Korogwe. Naondoka na level seat na mizigo zaidi ya 100kg natembea spidi hadi 140 sehemu nayoona mbele vizuri. Gari inatembea haswa haichemshi na siizimi mpk natia timu moshi milimani.
Sema wakati wa kurudi narudi na watu wawili tu na mizigo michache gari inatembea vizuri mno inakuwa na mbio zaidi.
Tanzania hakuna barabara ya kumfanya mtu ajisikie mnyonge huyo mwenye Kruger akiwa muoga wa ist anafika mapema sana maana njia zetu ukiwa muoga sometimes unaweza tembea hata 1km ukisubiri kulipita loriMkuu uwa unajisikiaje ukipack mombo kula pembeni mwezio kapack kluger, jiran yako kapack harrier new model , alafu wote mnakwenda Moshi hua unajisikiaje hapo Mkuu? Hivi high way si unakua mnyonge sana kila gari inakupita?!
[emoji3][emoji3] ngoja nimjibie, unashona koti kulingana na mwili wako.Mkuu uwa unajisikiaje ukipack mombo kula pembeni mwezio kapack kluger, jiran yako kapack harrier new model , alafu wote mnakwenda Moshi hua unajisikiaje hapo Mkuu? Hivi high way si unakua mnyonge sana kila gari inakupita?!
Unajua kila kitu pia ni sanaa ndani yake. Tuliwahi kusafiri magari mengi baada ya mwaka mpya, njian magari yalikuwa mengi sana. Vx v8, prado, kluger, premio, suzuki escudo n.k. cha ajabu toka tunatoka dom aliyekuwa anaongoza kwa mbio alikiwa ni escudo, sisi wa kluger tulikuwa wa pili, vx alikuwa nyuma yetu.Kufika unafika lakini njiani usijaribu kujipima ubavu na kina kluger, crown, subaru, prado n.k. Ukiwaona kwenye rear view mirror au side mirror waache wapite kwa amani na safari yako itakuwa poa.
Hebu nisaidie, wanasema gari ikiwa speed kubwa inakunywa mafuta mengi, ushauri ni maximum speed kiasi gani gari inakua standard hainywi mafuta mengi?Umesema kweli, japo kwa uzoefu wangu wa kusafiri na hiz IT madereva huwa wanatembea taratibu mno. Kwanza kuhofia tochi, pili kutumia mafuta mengi. So jamaa huwa hawana haraka,
lakini pia kuna kwenye check points huwa wanatumia muda mwingi, ni kama wanapumzika tu, mfano wa check point ya misugusugu na iringa, wanakaa sana pale.
Sawa sawa mkuu. Mie mara nyingi hupendelea kusafiri usiku. Naondoka dar saa moja jion. So sijawahi kusafiri na gari yenye cc ndogo.Kama pikipiki tu SANLG au TOYO ya 125CC ya Mchina inaweza kutembea kutoka Dar hadi Musoma/Bukoba unashangaa na kuwa na wasiwasi wa nini kwa gari kubwa la 1000 au 1400CC....?
Gari yoyote bila kujali ukubwa wa injini (CC) inaweza kutembea na kufika popote so long as unazingatia matunzo yake....
Kupumzika au kuweka kituo kila baada ya kuwa umetembea distance fulani, naturally hilo haliepukiki kwa sababu mbalimbali kama vile kupumzika, kujaza mafuta, kula chakula, kuchimba dawa, kufanya utalii nk nk...
Sijui unakuwa unawahi nini kwa safari ndefu kama hiyo kuwa unakimbia tu kwenda mbele kama vile wewe ni Lewis Hamilton wa kwenye mashindano ya magari ya Langa Langa (Formula 1) bila ku - break mara kwa mara...
Hata kama unawahi msiba, nyie mlio hai enjoy yourself when driving, waliokwisha kufa wameshakufa, hatuwezi kuwarudishia uhai wao hata tulie ama tukimbie njiani kwa spidi ya 250km/hr....
Please, Usiwapeleke uliowabeba ndani ya gari yako mputa mputa bila sababu yoyote bhana. Wafanye wasahau kuwa wanaenda msibani....
Ukizingatia hili, basi gari yoyote na yenye ukubwa wowote wa Injini hata kama ni 250CC, ita - suit demand ya safari yako ndefu vyema kabisa ili mradi tu gari yako hiyo liko kwenye specified performance standard yake....
Mie sijui sana. Ila nachofahamu ule mshale wa rpm usizidi 3 unapokanyaga mafuta. Mara nyingi unaanza kukanyaga mafuta kidogokidogo utaona gari speed inaongezeka ile ule mshale wa rpm unakupanda kidogo sana. Hapo mafuta unakuwa unatumia vizuri.Hebu nisaidie, wanasema gari ikiwa speed kubwa inakunywa mafuta mengi, ushauri ni maximum speed kiasi gani gari inakua standard hainywi mafuta mengi?
Nashukuru kwa hii point piaMie sijui sana. Ila nachofahamu ule mshale wa rpm usizidi 3 unapokanyaga mafuta. Mara nyingi unaanza kukanyaga mafuta kidogokidogo utaona gari speed inaongezeka ile ule mshale wa rpm unakupanda kidogo sana. Hapo mafuta unakuwa unatumia vizuri.
Mengine mim sijui
Mfano Toyota CamiSUV ni muundo wa gari tu kwa maana ya ground clearance. Mana naona ww unachanganya mambo, zipo Suv ambazo zina cc sawa na hizo ist, porte, vitz na n.k
Tatizo ni mentality. Wamatumbi wengi wanapenda vitu cheap cheap sana.Mi naona ni heri kudunduliza miaka 4 upate hela ya kununua gari ya maana SUV kuliko mtu anapata let say 10_12 mil.anakimbilia gari ndogo Tena la cc chini ya 1400 Kama ist ,passo ,vits, Bora hata Toyota succeed kuliko vits au ist. Kuna SUV Kama Subaru Forester,Nissan extrial ukiwa na 14 mil.unapata gari toka japan, mpaka unakabidhiwa mkononi kwa hyo 13_14 mil.
Mkuu Watanzania wengi tunamaisha bora, mtandaoni, nje ya mtandao, tunalia njaa.[emoji3][emoji3] ngoja nimjibie, unashona koti kulingana na mwili wako.
So ye uwezo wake IST wala haimsumbui.
Hata huko kuliko endelea, gari ndogo zipo, na wanazitumia. au unadhani hizi gari zinatengenezwa Tanzania.Tatizo ni mentality. Wamatumbi wengi wanapenda vitu cheap cheap sana.
Bora ukae miaka 4 huna gari...ila siku ukimiliki unamiliki gari ya kueleweka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mmmh miaka minne kwa mshahara wa laki tano, mbn michache sana?? [emoji3] watu wanamiaka 15 kazini lakini hawana magari. Ooh usichulie poa haya maisha oohTatizo ni mentality. Wamatumbi wengi wanapenda vitu cheap cheap sana.
Bora ukae miaka 4 huna gari...ila siku ukimiliki unamiliki gari ya kueleweka
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ok Hongera kwa kumiliki gari ndogoHata huko kuliko endelea, gari ndogo zipo, na wanazitumia. au unadhani hizi gari zinatengenezwa Tanzania.
Ibafaa sana tu mi huwa napiga dar mwanza darWakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zinatofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
Talking drom experience. Natumia passo mkuu.tembea 100 km no more utafika na hiyo gari hata mbinguni bila kusimama. Mm huwa nawasha ubungo nakuja kuizima mwanza , hata kula huwa sili huwa napitia korosha chalinzeKama pikipiki tena yenye air-cooler inaenda itashindwaje gari yenye rejeta?
Sema kama alivosema mdau Mwl.RCT hapo juu, ushajua gari yangu haiwezi shindana na wenye 2.0L zingatia haya:
1. Take it slow. Kama unahitajika uko "masafa marefu" mapema ni bora ukaondoka siku moja kabla kuliko kukimbizana njiani.
2. Jiwekee vituo kadhaa. Mfano kila baada ya 80-100km au 2 hours of driving itategemea pana mji au centre pumzika. Simamisha gari. Pata msosi afu zunguka zunguka ufanye utalii.
3. Ifanyie service kabla haujaondoka. Especially ya Oil, matairi, breki, etc.
4. Usibebe mizigo kupiliza. Ushajua gari yako haina cc kubwa so na nguvu (hp) itakua ndogo, usijibebee mizigo utaitesa. Mfano ukataka ule vichwa njiani lets say 3, pia ukabeba na mazawadi mazawadi unaweza ona una save kumbe unalitesa gari.
5. Mkiwa wawili itakua poa. Kupokezana maana hiyo safari ni ndefu.
6. Obey sheria zote ili kupunguza gharama za kuwatoa toa trafick.
Kwa experience yangu mimi nishaenda na IST Mbeya na Dodoma nishaipeleka Passo kwa mteja.
Itabidi siku moja tupange safari kwenda mwanza na hivi vibebiwoka vyetuTalking drom experience. Natumia passo mkuu.tembea 100 km no more utafika na hiyo gari hata mbinguni bila kusimama. Mm huwa nawasha ubungo nakuja kuizima mwanza , hata kula huwa sili huwa napitia korosha chalinze