Na watu wanazarau passo na Vitz wakati ni gari safi tu kuipata mpaka ule msoto wa maanaHahahahahahaaa dah aisee kweli kabisa
Safari ndefu unamaanisha kutoka tz hadi south africa au mbagala to bunju au dar to moro au ubingo to mwenge?Wakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zinatofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
Bila shaka unamiliki 3uz-fe.Gari yenye cc chini ya 1000???
Hiyo ni pikipiki sasa....
Huwezi kusafiri safari ya Dar Bukoba moja kwa moja. Lazima usimame sehemu ujisaidie, ule chakula, uongeze wese na kujinyoosha pia. Inayoenda moja kwa moja ni ndege tu. Kwa ufupi Vits ya cc 990 inaweza toka South Africa mpaka Dar kama gari nyingine tatizo ni nguvu tu ya engine utakuwa unapigwa overtake mpaka na wakimbia MarathonMaana sijawahi kwenda masafa marefu na gari chini ya cc 1490.
Ila kuna jamaa yangu ameenda hadi bukoba kwa vitz ile ya cc990, hapo breki ya kwanza, dom, kisha misigiri, then nzega, halafu kahama, chato then katoboa bukoba.
Sasa naona vituo ni vingi sana, na mie napenda nikianza safari iwe moja kwa moja.
[emoji1787][emoji1787] hadi wakimbia marathoni??Huwezi kusafiri safari ya Dar Bukoba moja kwa moja. Lazima usimame sehemu ujisaidie, ule chakula, uongeze wese na kujinyoosha pia. Inayoenda moja kwa moja ni ndege tu. Kwa ufupi Vits ya cc 990 inaweza toka South Africa mpaka Dar kama gari nyingine tatizo ni nguvu tu ya engine utakuwa unapigwa overtake mpaka na wakimbia Marathon
Mkuu mbn nimetaka mfano dar kagera.??!!!!Safari ndefu unamaanisha kutoka tz hadi south africa au mbagala to bunju au dar to moro au ubingo to mwenge?
[emoji28][emoji28] hatari sanaHiyo ni bajaji yenye bodi ya gari
Mkuu kuna suzuki salmon zina speed had 220Suzuku gani hio inatembea 170KPH?
Duh ni noma basi.Mkuu kuna suzuki salmon zina speed had 220
Sio kweli tembeza chuma hata kwenda ahera angalia tu taa ya joto isipo waka gari ipo salama. Zingatia serviceWakuu kwema?
Hivi gari ya cc 990 na cc 1290, zinatofauti gani kwenye suala la kupiga masafa marefu?
Maana wengine wanasema kama gari engine capacity yake ni ndogo huwez kwenda nalo masafa marefu km dar to kagera bila kuweka vituo vingi katikati.
Je, hili lina ukweli?
Da ar sio safari ndefu mkuu unaenda tu. Km 500 kushuka chini kawaida sanaNi kweli mkuu, sasa mfano kila baada ya miez minne unaenda arusha from dar, au mbeya. But most of time unakuwa dar, je haifai kuitumia kuendea huko mkoani??
Toyota succeed/probox ina tofauti gani na IST kwa upande wa injini?Mi naona ni heri kudunduliza miaka 4 upate hela ya kununua gari ya maana SUV kuliko mtu anapata let say 10_12 mil.anakimbilia gari ndogo Tena la cc chini ya 1400 Kama ist ,passo ,vits, Bora hata Toyota succeed kuliko vits au ist. Kuna SUV Kama Subaru Forester,Nissan extrial ukiwa na 14 mil.unapata gari toka japan, mpaka unakabidhiwa mkononi kwa hyo 13_14 mil.
Prado gani mkuu maana zipo za aina nyingi,mfano yenye injini ya 5L inapitwa hata na passo muungurumo mkubwa mwendo mdogo kwa hiyo jaribu kutoa specs ya gari husika.Kufika unafika lakini njiani usijaribu kujipima ubavu na kina kluger, crown, subaru, prado n.k. Ukiwaona kwenye rear view mirror au side mirror waache wapite kwa amani na safari yako itakuwa poa.
Zile j150, zinakuwaga na kamluzi amazing ka turboPrado gani mkuu maana zipo za aina nyingi,mfano yenye injini ya 5L inapitwa hata na passo muungurumo mkubwa mwendo mdogo kwa hiyo jaribu kutoa specs ya gari husika.
Zile balaa na zinachanganya fasterZile j150, zinakuwaga na kamluzi amazing ka turbo
Mimi sina gari mkuu, ila maisha mitandaoni, kwa vile hatuonani, kila mtu anajiona yuko zaidi, kumbe wengi hata pa kulala tunavizia, ila tunamiliki Simu ya kupondea vitu vya watu tu.
Mimi nimeona ya silver ,mbezi beach kwa zenakaribu na ilipokua Golden J.
Hiyo chuma ni kali sanaaa
View attachment 1730290View attachment 1730291View attachment 1730289