Embu tukumbuke sheria za mpira wa miguu zinasemaje kuhusu goli la kujifunga ili tujue kama mtu anayestahili kupewa credit ya goli la nne katika mechi ya jana ya Yanga vs Mtibwa ni Skudu au beki wa Mtibwa.
Skudu alipopiga mpira, kipa alianza kuruka kuufuata ule mpira ila kuna beki wa Mtibwa akaupiga kichwa na kuupeleka mpira juu zaidi ya eneo ambalo kipa alidhani mpira unaelekea matokeo yake akashindwa kuufikia. Ukiangalia vizuri utaona yule beki baada ya kujifunga alishika kichwa.
Angalia goli hili katika fainali ya kombe la dunia 2018, Ufaransa vs Croatia. Goli hili linafanana sana na hili la Skudu na lilihesabika kama goli la kujifunga kwa mchezaji wa Croatia aliyeuparaza mpira kwa kichwa.
Embu tukumbuke sheria za mpira wa miguu zinasemaje kuhusu goli la kujifunga ili tujue kama mtu anayestahili kupewa credit ya goli la nne katika mechi ya jana ya Yanga vs Mtibwa ni Skudu au beki wa Mtibwa.
Skudu alipopiga mpira, kipa alianza kuruka kuufuata ule mpira ila kuna beki wa Mtibwa akaupiga kichwa na kuupeleka mpira juu zaidi ya eneo ambalo kipa alidhani mpira unaelekea matokeo yake akashindwa kuufikia. Ukiangalia vizuri utaona yule beki baada ya kujifunga alishika kichwa.
Embu tukumbuke sheria za mpira wa miguu zinasemaje kuhusu goli la kujifunga ili tujue kama mtu anayestahili kupewa credit ya goli la nne katika mechi ya jana ya Yanga vs Mtibwa ni Skudu au beki wa Mtibwa.
Skudu alipopiga mpira, kipa alianza kuruka kuufuata ule mpira ila kuna beki wa Mtibwa akaupiga kichwa na kuupeleka mpira juu zaidi ya eneo ambalo kipa alidhani mpira unaelekea matokeo yake akashindwa kuufikia. Ukiangalia vizuri utaona yule beki baada ya kujifunga alishika kichwa.
Embu tukumbuke sheria za mpira wa miguu zinasemaje kuhusu goli la kujifunga ili tujue kama mtu anayestahili kupewa credit ya goli la nne katika mechi ya jana ya Yanga vs Mtibwa ni Skudu au beki wa Mtibwa.
Skudu alipopiga mpira, kipa alianza kuruka kuufuata ule mpira ila kuna beki wa Mtibwa akaupiga kichwa na kuupeleka mpira juu zaidi ya eneo ambalo kipa alidhani mpira unaelekea matokeo yake akashindwa kuufikia. Ukiangalia vizuri utaona yule beki baada ya kujifunga alishika kichwa.
Sijapewa jibu lenye mashiko kuhalalisha goli kuwa la Skudu, naona watu wanajibu kishabiki tu. Mfano mwangalie huyo mmoja anayeuliza kama Skudu asingepiga ule mpira yule beki angepigaje kile kichwa, eti hii nayo ni hoja ya kusema goli ni la Skudu.
Ninachojua mimi kwa ufahamu wangu wa mambo ya mpira lile ni goli la kujifunga
Nyie hata mpira wa ulaya hamuangalii? Matukio kama haya yanajitokeza kila siku ila goli anapewa mpigaji na sio beki aliyepelekea mpira ku deflect. Itakua own goal ikiwa mpira uliopigwa haukua unaelekea golini ila beki au mchezaji aliucheza ukabadilisha kabisa uelekeo wa mpira.
Embu tukumbuke sheria za mpira wa miguu zinasemaje kuhusu goli la kujifunga ili tujue kama mtu anayestahili kupewa credit ya goli la nne katika mechi ya jana ya Yanga vs Mtibwa ni Skudu au beki wa Mtibwa.
Skudu alipopiga mpira, kipa alianza kuruka kuufuata ule mpira ila kuna beki wa Mtibwa akaupiga kichwa na kuupeleka mpira juu zaidi ya eneo ambalo kipa alidhani mpira unaelekea matokeo yake akashindwa kuufikia. Ukiangalia vizuri utaona yule beki baada ya kujifunga alishika kichwa.
Kinachoangaliwa ni mwelekeo wa mpira kwa mpira ulopigwa na skudu ulikuwa ukielekea golini (ulilenga milingoti mitatu ya goli) hivyo ni goli lake, mara nyingi mipira ya cross ndo huwa own goal
Ingekua own goal kama mpira haukua na direction ya kwenda Goli....
Sheria zipo wazi hata kama skudu angelenga angle b na mpira ukamgonga beki ukaingia angle c.. mradi ulikua on target still Goli angepewa Skhudu
Kuna wakati Tottenham waliwahi kuomba goli liwe la Kane na wakakubaliwa. Nadhani hata hapa kama kuna mtu anaona Skudu hafai kupewa lile goli apeleke malalamiko bodi ya ligi wapewe Mtibwa sugar.
Nyie hata mpira wa ulaya hamuangalii? Matukio kama haya yanajitokeza kila siku ila goli anapewa mpigaji na sio beki aliyepelekea mpira ku deflect. Itakua own goal ikiwa mpira uliopigwa haukua unaelekea golini ila beki au mchezaji aliucheza ukabadilisha kabisa uelekeo wa mpira.
Kinachoangaliwa ni mwelekeo wa mpira kwa mpira ulopigwa na skudu ulikuwa ukielekea golini (ulilenga milingoti mitatu ya goli) hivyo ni goli lake, mara nyingi mipira ya cross ndo huwa own goal
Ingekua own goal kama mpira haukua na direction ya kwenda Goli....
Sheria zipo wazi hata kama skudu angelenga angle b na mpira ukamgonga beki ukaingia angle c.. mradi ulikua on target still Goli angepewa Skhudu
Kuna magoli mengi tu ambayo yamewahi kuhesabika ni ya kujifunga pamoja na kwamba mpira ulikuwa unaelekea golini.
Kinachoangaliwa ni mazingira mpira ulivyomgusa huyo mchezaji wa timu pinzani ni kiasi gani usingemgonga mpira ungeweza kutoingia golini.
Kama mpira ukimgonga mchezaji na ikapoteza timing ya kipa au mchezaji mwingine aliye nyuma yake kuweza kuokoa hata kama mpira kwa kiasi kikubwa haujabadili direction hilo ni goli la kujifunga.