Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nahisi nao yanga wataanza kutumia kauli za simba zinazo sema
Sisi tunataka makombe tu apate asipate faida hiyo yake
Vipi kuhusu conflict of interest ?Hizi scenario hazifanani. Kinachoendelea Yanga sasahivi ni mchakato wa uchaguzi wa viongozi kwa mujibu wa katiba mpya. Hersi amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa rais wa Yanga...
hahahahaha,baada ya muda,wanaanza kusema tuachieni timu yetuNahisi nao yanga wataanza kutumia kauli za simba zinazo sema
Sisi tunataka makombe tu apate asipate faida hiyo yake
Nahisi nao yanga wataanza kutumia kauli za simba zinazo sema
Sisi tunataka makombe tu apate asipate faida hiyo yake
Nahisi nao yanga wataanza kutumia kauli za simba zinazo sema
Sisi tunataka makombe tu apate asipate faida hiyo yake
Vipi kuhusu conflict of interest ?
[emoji38][emoji38][emoji38] Endelea kupanua magoli , sisi hatutaki muanze kulialia huko mbele , ndio maana tunawasaidia .Sijajua ipi maana yako halisi ya neno “Conflict of interest”
Kwa namna ninavyo fahamu ni a situation in which a person is in a position to derive personal benefit from actions or decisions made in their official capacity.
Sasa ni namna gani patakuwa na CoI kama muajiriwa na muwakilishi wa GSM kwenye Yanga Ltd akawa kabisa ndio Mwenyekiti ya Yanga LTD!
Huoni hapo ndio atafanikiwa zaidi kutekeleza majukumu yake anayoagizwa na GSM kwa klabu?
Tunajua,kinachokuuma nini sasa?Baada ya Hersi Said kuomba Uenyekiti kwa kudanganya umma kwamba eti kaombwa na Wazee...
Yaan wew kolo leo hii useme unatusaidia wananchi.[emoji38][emoji38][emoji38] Endelea kupanua magoli , sisi hatutaki muanze kulialia huko mbele , ndio maana tunawasaidia .
Hivi kwa mfano Yanga ikaingia kwenye Mgogoro na GSM unadhani Hersi atakuwa upande gani ?
Umemjibu kisomi sana huyu.Hizi scenario hazifanani. Kinachoendelea Yanga sasahivi ni mchakato wa uchaguzi wa viongozi kwa mujibu wa katiba mpya...
Endeleeni kusifia , sisi tunawachora tuSio kupora tu inabidi GSM wapeane hadi vyeo vyote kuhimu pale Yanga na timu I we yao milele na milele
Binafsi GSM waendelee kuupiga mwingi coz naona wapinzani wanaanza kuunga mkono juhudi zao
Naelewa maumivu yenu wanasimba juu ya uwepo Wa GSM pale Yanga
Sio kuchora tu,hata kuandika pia inabidi muanze kufanya hvyoEndeleeni kusifia , sisi tunawachora tu
[emoji38][emoji38][emoji38]Ya chadema yamekushinda unaanza kuvamia yasiyokuhusu.
Nadhani utakuwa na uslow leaner Fulani hivi.
Kwani Hers siyo mwanachama wa yanga? Hana sifa za kugombea? Ameiba kura? Amevunja kanuni? Au nin kinskufanya useme wananchi wanaparwa timu?
Akili zako ni ndogo sana hata ukieleweshwa vipi huwezi kuelewa badala upote muda kufuatilia ya mudi na 20bn hewa ufautilia yasiyo kuhusu.
By way sijawahi kuona mtu akawa chadema akawa na akili timamu zaidi ya Mbowe.
Ndo maana tunataka kumpa ili usitokee mgogoro[emoji38][emoji38][emoji38] Endelea kupanua magoli , sisi hatutaki muanze kulialia huko mbele , ndio maana tunawasaidia .
Hivi kwa mfano Yanga ikaingia kwenye Mgogoro na GSM unadhani Hersi atakuwa upande gani ?