Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Baada ya Hersi Said kuomba Uenyekiti kwa kudanganya umma kwamba eti kaombwa na Wazee, sasa ni dhahiri ule mpango wa gizani wa GSM kuichukua timu ya Yanga bila jasho umetimia.
Hakuna cha bure , hela mlizolipwa kwenye uendeshaji wa timu yenu ndio gharama ya manunuzi .
Hakuna cha bure , hela mlizolipwa kwenye uendeshaji wa timu yenu ndio gharama ya manunuzi .