njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
wananchi wanaporwa team yao na wahuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mo alichukuliwa na nani?kachukua au kachukuliwa ?
Nani amekudanganya kwamba simba na yanga ni timu za mashabikiwananchi wanaporwa team yao na wahuni
Wewe mpuuzi kasome katiba ya yanga kwanza ndo ulete uharo wako hapa vinginevyo unajivua nguo wewe mwenyewe, usifikiri kwa kutumia tumbo yanayoendelea kuwakuta nyie makolo ni zao la kutokuwa na katiba inayoeleweka na mkapata mwekezaji janja janja, kasome katiba ya yanga kwanza ndo uje tujibizane kwa hoja na sio virojaBaada ya Hersi Said kuomba Uenyekiti kwa kudanganya umma kwamba eti kaombwa na Wazee, sasa ni dhahiri ule mpango wa gizani wa GSM kuichukua timu ya Yanga bila jasho umetimia.
Hakuna cha bure , hela mlizolipwa kwenye uendeshaji wa timu yenu ndio gharama ya manunuzi .
[emoji38][emoji38][emoji38] Endelea kupanua magoli , sisi hatutaki muanze kulialia huko mbele , ndio maana tunawasaidia .
Hivi kwa mfano Yanga ikaingia kwenye Mgogoro na GSM unadhani Hersi atakuwa upande gani ?
Mbumbumbu hawawezi kuelewa hapaHizi scenario hazifanani. Kinachoendelea Yanga sasahivi ni mchakato wa uchaguzi wa viongozi kwa mujibu wa katiba mpya. Hersi amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa rais wa Yanga. Anayo haki kama mwanachama mwingine yoyote wa Yanga aliyetimiza vigezo.
Waliochukua fomu wanazo shughuli zao za kutafuta riziki,wengine ni wajasiriamali na wengine wameajiriwa sehemu mbalimbali kama ambavyo Hersi ameajiriwa na GSM. Hersi sio GSM. Hersi ni mwajiriwa GSM.
Ikitokea mwanachama wa Yanga anayefanya kazi SportPesa kachukua fomu kugombea nafasi ya uongozi haimaanishi kuwa SportPesa wana mpango wa kuichukua Yanga. Ikitokea mwanachama wa Yanga anayefanya kazi Azam Sports amechukua fomu haina maana kuwa Azam wanataka kuichukua Yanga.
Suala la kauli ya "..sisi tunachotaka ushindi..." ambayo unasema inatumika na mashabiki wa Simba ipo katika mazingira tofauti kabisa. Kule kuna mwekezaji ambaye tayari kashakubaliwa kisheria na wanasimba. Anao wajibu anaopaswa kuufanya,ambao ndio unaohojiwa na baadhi ya mashabiki wa Simba.
Yametimia kama ya Mo alivyoikwapua makolo fc na kumuweka bimdogo kuwa mtendaji mkuu,Yametimia !!
Msiige kila uchafu , Mbona Mo tumempiga sana Spana humu !Yametimia kama ya Mo alivyoikwapua makolo fc na kumuweka bimdogo kuwa mtendaji mkuu,
Wanachama kapuku na masikini wataleta maendeleo gani kwenye timu?Msiige kila uchafu , Mbona Mo tumempiga sana Spana humu !
M/kiti wa klabu Mkurugenzi wa GSMWanachama kapuku na masikini wataleta maendeleo gani kwenye timu?
sasa makolo mnaumia nini? sisu tunataka furaha tu! Mpira pesaM/kiti wa klabu Mkurugenzi wa GSM
Mdhamini wa klabu GSM
Mwendesha mchakato wa mabadiliko GSM .
Wananchi wamepigwa na kitu kizito. GSM kakwapua timu.
Tena tusisikie kelele eti timu ya wananchi
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app