Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,036
- 9,331
Nilikuwa napitia mtandao wa wikipedia, ili kusoma historia ya vita vya Kagera, tahamaki nikakuta webpage moja wanalichambua jeshi la wananchi wa Tanzania kinaga ubaga, nikashituka sana, je hizi habari hazihatarishi usalama wa Taifa?.
hebu cheki hii link hapa
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Military_of_Tanzania"]Tanzania People's Defence Force - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
hebu cheki hii link hapa
[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Military_of_Tanzania"]Tanzania People's Defence Force - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]