Je, hali ya ofisi nyingi na makampuni mengi kutaka interns na volunteers ni jambo sahihi?

Je, hali ya ofisi nyingi na makampuni mengi kutaka interns na volunteers ni jambo sahihi?

Akilindogosana

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2020
Posts
4,303
Reaction score
12,679
Siku hizi kumeibuka tabia ya mashirika na makampuni binafsi na ya serikali kupenda ma intern/volunteer/wa kujitolea kwa sana.

Je, ni jambo jema? Wengine hawalipwi kabisa, wengine wanalipwa kidogo. Pia wanatoa ahadi hewa za kukupa ujuzi au kukupa mkataba ambao hautaupata bila connection.

NB: Leo kuna mlevi mmoja aliropoka "Nyie mnaojitolea mkipata ajira au mkataba niiteni mbwa, nimekaa paleee."
 
Intern ni namna ya kuwatafutia ulaji hao graduates ambao hawana kazi za kufanya , wakitaka ajira lazima wafuate mlolongo mreeefu sasa short cut wanawaita intern huku wanawalipa vijihela vya kuishi sihaba kuliko kukaa tu nyumbani maana elimu yetu imejikita katika kuajiriwa tu . wachache tulioshtuka tukaamua kuja kubeba boksi huku ndio tunasonga kwa namna hii.
 
Nawaambia vijana acheni ujinga, narudia acheni ujinga na hayo ma interns sijui volunteer, mnaharibu.

Mtoa mada kasema la ukweli na mjue kuwa hayo makampuni yanaepuka mapato na malipo mengi sana kwa sababu yenu, moja wengi kwa sasa hawatoi ajira wanaendesha makampuni, mahoteli nk kwa mfumo huo.

Ndiyo maana wanakuja kuchuma hapa bongo kwa mawazo ya akili zenu za kufanya kazi bure, tuna mifano hai hoteli, kampuni zinabadirisha staff kila uchao, ukiuliza unaambiwa wamemaliza muda na wanaingia wengine.

Vijana mnabemendwa kwa ujinga wenu, shitukeni.
 
Siri kuu ya hii kitu ni hii :- kampuni huwa ipo behind na productions sasa inahitaji nguvu kazi, ili kukamilisha order walionayo. Kuajiri temp inakuwa ngumu hawa lazima walipwe ujira wao. Kwahio njia ya kutumia ndio hii intern na volunteer(utumwa mambo leo wa ajira). Unafanya kazi kwa bidii ukijua utapata ajira kumbe manager/supervisor/group leader na HR wanakucheka tu. Manake wakisha keep up na production yao ndio wanakwambia nenda nyumbani zaidi tutakupigia hapo kimya cha milele kimefika.
 
Siri kuu ya hii kitu ni hii :- kampuni huwa ipo behind na productions sasa inahitaji nguvu kazi, ili kukamilisha order walionayo. Kuajiri temp inakuwa ngumu hawa lazima walipwe ujira wao. Kwahio njia ya kutumia ndio hii intern na volunteer(utumwa mambo leo wa ajira). Unafanya kazi kwa bidii ukijua utapata ajira kumbe manager/supervisor/group leader na HR wanakucheka tu. Manake wakisha keep up na production yao ndio wanakwambia nenda nyumbani zaidi tutakupigia hapo kimya cha milele kimefika.
Yaani wanakupa moyo balaa. Ukisepa tu hawakutafuti na inapita hata miaka mitano 🤣. Halafu wiki inayofuata baada ya kumaliza internship unaona wanatangaza wanahitaji interns wengine.



NB: Kuna mashirika mengine intern wanaorudi ni wadada weupe wenye TAKO KUBWA ambao wapo tayari kugawa utamu
 
Kiukweli huu ni unyonyaji ,kuna watu wana jitolea had mwaka na nusu, had unajiuliza kama wanaitaj man power kwanini wasiajir hata temporary contracts za mwaka Moja moja,
Wanakudanganya na elfu 40 ,zao za weekly, haki mim bora niuze genge langu
 
Nawaambia vijana acheni ujinga, narudia acheni ujinga na hayo ma interns sijui volunteer, mnaharibu.

Mtoa mada kasema la ukweli na mjue kuwa hayo makampuni yanaepuka mapato na malipo mengi sana kwa sababu yenu, moja wengi kwa sasa hawatoi ajira wanaendesha makampuni, mahoteli nk kwa mfumo huo.

Ndiyo maana wanakuja kuchuma hapa bongo kwa mawazo ya akili zenu za kufanya kazi bure, tuna mifano hai hoteli, kampuni zinabadirisha staff kila uchao, ukiuliza unaambiwa wamemaliza muda na wanaingia wengine.

Vijana mnabemendwa kwa ujinga wenu, shitukeni.
Yaani makampuni mengi sana, mashirika mengi sana, mashirika/taasisi za kiserikali, halmashauri na NGO kama zote wao wanataka maintern na volunteer tu.
 

Attachments

  • Screenshot_20220721-202548.png
    Screenshot_20220721-202548.png
    192.9 KB · Views: 23
  • Screenshot_20220721-202259.png
    Screenshot_20220721-202259.png
    75.8 KB · Views: 21
  • Screenshot_20220721-202242.png
    Screenshot_20220721-202242.png
    57.8 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220721-202231.png
    Screenshot_20220721-202231.png
    56.3 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220721-202125.png
    Screenshot_20220721-202125.png
    59.2 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220721-202120.png
    Screenshot_20220721-202120.png
    62.2 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220721-202109.png
    Screenshot_20220721-202109.png
    86.1 KB · Views: 20
  • Screenshot_20220721-202051.png
    Screenshot_20220721-202051.png
    73.6 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220721-202027.png
    Screenshot_20220721-202027.png
    83.4 KB · Views: 22
Kujitolea 1:1
Kisha HR akawaambia, "Enyi vijana wakujitolea, fanyeni kazi kwa bidii na kwa uzalendo mkuu, nanyi mtapewa ajira"





Wengine mtaendelezea sura zinazofuata.
 
Kiukweli huu ni unyonyaji ,kuna watu wana jitolea had mwaka na nusu, had unajiuliza kama wanaitaj man power kwanini wasiajir hata temporary contracts za mwaka Moja moja,
Wanakudanganya na elfu 40 ,zao za weekly, haki mim bora niuze genge langu
Hii kitu ni utumwa na unyonyaji. Sehemu zingine mtu hupewi hata elfu moja ya maji.
 
Hata RUWASA wanao vijana wa kujitolea lakini hakuna chochote na wanaajiri wengine tu.
Mashirika ya serikali, taasisi, NGO, makampuni binafsi mengi sana yanayo watu wengi mno wa kujitolea. Mpaka hawa wawekezaji wanaokuja kuwekeza Tanzania na wenyewe wamesomba ma intern, volunteer wa kutosha.
Wengine hawakupi hata buku la maji.
 
Intern ni namna ya kuwatafutia ulaji hao graduates ambao hawana kazi za kufanya , wakitaka ajira lazima wafuate mlolongo mreeefu sasa short cut wanawaita intern huku wanawalipa vijihela vya kuishi sihaba kuliko kukaa tu nyumbani maana elimu yetu imejikita katika kuajiriwa tu . wachache tulioshtuka tukaamua kuja kubeba boksi huku ndio tunasonga kwa namna hii.
mtu anawezaje kufika mbele bila kuwa na mtu kule wala kuattend masomo?
 
Siku hizi kumeibuka tabia ya mashirika na makampuni binafsi na ya serikali kupenda ma intern/volunteer/wa kujitolea kwa sana.

Je, ni jambo jema? Wengine hawalipwi kabisa, wengine wanalipwa kidogo. Pia wanatoa ahadi hewa za kukupa ujuzi au kukupa mkataba ambao hautaupata bila connection.

NB: Leo kuna mlevi mmoja aliropoka "Nyie mnaojitolea mkipata ajira au mkataba niiteni mbwa, nimekaa paleee."
Ndio njia pekee ya kujudge competence ya mwajiriwa kabla hujamwajiri kwa kuangalia vyeti
 
Back
Top Bottom