Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

[emoji122][emoji122][emoji122] well said [emoji115][emoji106][emoji123].

Tunataka watu makini kama "Fundi mchundo" na si akina Njaa.
 
Uchumi wa Halima ni sawa na uchumi wa Gwajima? Hiyo misikiti aliyoichimbia visima ndio hiyo anataka iwe sunday schools ?
Huo ulikuwa mpango wake wa kwanza wa kugeuza misikiti kuwa sunday school
 
Pascal , mwenzako anakula nchi huyu wewe umebaki kuhangaika na JF
 

Attachments

  • Makonda.mp4
    13.5 MB


Kama unaweza kutuletea nyengine yenye maandishi ya CCM badala ya KAWE ningalikushukuru sana
 
Kaka Paskali, siku utakayokuja kukumbuka kuwa maendeleo yetu hayaletwi na Mbunge bali ni kodi zetu ndipo mtakapoacha kumwambia Baba yenu kuwa hii sio nchi ya chama kimoja.

Maendeleo ya jimbo la kawe yanaletwa na kodi zetu, na siku mtakayokuja kutuambia kwenye kampeni eti hamleti maendeleo kwa kuwa tumechagua upinzani, nisione TRA wala manispaa kwenye biashara yangu..watakuwa halali yangu.
 

Mkuu nakubaliana nawe.

Nadhani huyu Pasacali tangu njaa ya Corona na pia alipojisajili rasmi mboga mboga yafuatayo yanamsibu:

1. Inabidi afanye yote kuchekechea uteuzi.
2. Hana uhuru wa kuanzisha au kuchangia mada akiwa huru kama kina sisi.

Kimsingi hana amani kabisa anakufa na tai shingoni tu.

Hii ni tathmini kumhusu bwana Pasacali. Akitaka tutamletea ya huyo askofu uchwara kabla ya Kamanda Halima.
 
Nimependa sana mtazamo wako. Aina ya watu kama wewe ndio wakazi wa Kawe bravo. Umewakilisha mawazo yangu kwa ufasaha sana na briefly
 
Zaidi ya kutukana Bungeni, kufungiwa Bungeni kutokana na utovu wa nidhamu, kususia kikao cha Bajeti hayo ndiyo nimeyaona amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuibana Serikali.
Nb: Ukweli hakuna alichokifanya
 
Ataku prove wrong very soon ila Mkuu Pascal Mayalla umeonyesha kiwango cha juu cha unafiki. Unataka Halima Mdee atoe fedha zake mfukoni kufanya shughuli za maendeleo?

Au tayari umeona Msukuma mwenzio amepitishwa kugombea Kawe kupitia CCM ndipo unasahau hata imani yako ya Ukatoliki na kuanza kumpigia kampeni huyu PornStar Gwajima?

Kweli umesahau kauli za Magufuli kuwa a hapeleki maendeleo kwenye Jimbo lililo chini ya upinzani kama Kilwa kwa Bwege
 
Ndugu Mayalla. Baadhi ya wanachadema wengi uwezo wao wa kufikiria ni Mdogo sana. Na chadema imetumia uwezo mdogo wa wafuasi wao kufikiri kujipatia Madaraka.

Hili unalolizungumza la Mbunge Anae maliza Muda wake wa kawe halipotu kawe lipo kwenye Majimbo yote yaliyochukuliwa na Upinzani.

Wabunge wao hawajishugulishi hata kuchimba tundu la choo cha Shule ya msingi wanachowadanganya wananchi wao ni kwamba wao Hawakusanyi kodi. Lakini wana sahau wamepewa PESA ya Mfuko wa jimbo.

Mimi nakubaliana na WOTE wanao kuwa mstari wa Mbele kuwaletea wananchi Maendeleo na sio Maneno matupu.

Huwezi kumchagua Mbunge Ambae Kila siku ni kususa Susa na kuitukana Serikali utegemee Kwenye jimbo lenu mtapata maendeleo.

Lakini nikishukuru chama changu cha mapinduzi kimekua na Upendo hata kwa Yale majimbo Ambayo hawakuchaguliwa wamepeleka Maendeleo.
 
Njaa inamsumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…