Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

Makubwa kuliko yote ni uthubutu was kutetea,Uhuru,haki na maendeleo yanayoitwa kutokuwa na chama na wakati mmoja kupewa masharti ya maendeleo.
 
Wewe unaamini maendeleo yataletwa na mtu anayeahidi kufanya mambo kwa pesa yake ya mfukoni? Maendeleo ya kweli hayawezi letwa na mtu wa namna hiyo, angekuwa na uchungu kweli angejenga kanisa waumini wake wasalie kwenye kivuli.
Ina maana ana uchungu na wananchi wa Kawe mpaka eti atoe ambulance kila kata kwa pesa yake mara ajenge barabara kwa pesa yake, lakini kashindwa jenga kanisa kwa waumini wake.
Nina walakini na huyu Ngwaju Boy maana pia anabadilika badilika kama kinyonga kama Mzee wa Upako
 
Pascal Mayalla ni amekuwa mjinga sana this time,badala ya kutuletea blah blah za kijinga zisizo na utaalam wowote ule aitishe hata mchango aombe tumnusuru kutokana na kukosa kabisa kazi ya kumuingizia kipato. Mwambieni tupo tayari kumchangia ili abaki na uhuru wake wa akili ambao anaelekea kuupoteza.

Mada ya kipuuzi sana hii aliyoleta!
Limekuwa lofa kama gwajiporn. Jitu hovyo kabisa. Anakuwa driven na tribalism!
 
Zaidi ya kutukana Bungeni, kufungiwa Bungeni kutokana na utovu wa nidhamu, kususia kikao cha Bajeti hayo ndiyo nimeyaona amefanikiwa kwa kiwango kikubwa kuibana Serikali.
Nb: Ukweli hakuna alichokifanya
Wewe na Kibabaj hamna tofauti mnacho kielewa ni kutembea na ink pad kwa ajili ya kupokelea posho
 
Ataku prove wrong very soon ila Mkuu Pascal Mayalla umeonyesha kiwango cha juu cha unafiki. Unataka Halima Mdee atoe fedha zake mfukoni kufanya shughuli za maendeleo?

Au tayari umeona Msukuma mwenzio amepitishwa kugombea Kawe kupitia CCM ndipo unasahau hata imani yako ya Ukatoliki na kuanza kumpigia kampeni huyu PornStar Gwajima?

Kweli umesahau kauli za Magufuli kuwa a hapeleki maendeleo kwenye Jimbo lililo chini ya upinzani kama Kilwa kwa Bwege
Mkuu huyo ni kiongozi wa WANAFIKI HAPA TANZANIA.
 
Kufuatana na utafiti wa TWAWEZA ulisema kuwa wafuasi na wapenzi wengi wa ccm ni kati ya std 1 na std vii. Na ni masikini sana hivyo nawe ni mmoja wapo.
 
Kwa jibu hili huu uzi ulipaswa ufungwe,paskali kama ana kichwa kizuri haitaji maelezo ya ziada.
Nadhani swali ni serikali imefanya nini kwenye jimbo la Kawe maana jukumu la kuleta maendeleo ni la serikali na sio la mbunge. Kama katika miaka 10 ya ubunge wa Halima hapajakuwa na maendeleo Kawe inayopaswa kuhojiwa ni serikali na sio mbunge.

Swali kwa Halima ni je katika muda wake huo amewapigania watu wa Kawe na Tanzania ili wapate maisha bora zaidi? Kwa vile chama chake hakikuwa madarakani, wananchi wanapaswa kuwauliza waliokuwa madarakani kwa nini hawakutilia maanani kilio cha mbunge wao?

Kumchagua mtu kwa vile ana pesa za kuchonga barabara ni kujidhalilisha maana mtakuwa mmenunuliwa. Chagueni mtu atakayewapigania ili mtendewe haki kutokana na kodi mnayolipa. Maendeleo sio fadhila, ni haki yenu.
Amandla...
 
Naona mlioshindwa kura za maoni mnatekeleza agizo la Mwenyekiti wenu kuwapigia debe waliopita!Hapa unajiwekea kafursa ili ukumbukwe kwenye teuzi kwa kutii maagizo ya mwenyekiti!Huwezi kutenganisha ukada wako na mawazo yako,kwa wanaJF utakuwa mnywa maji ya kijani tu!

Kujijengea heshima fulani na kuaminika inachukua muda mrefu,ila kuvivunja vitu hivyo ni ndani ya sekunde moja tu!

Ulishapoteza hilo na huenda mpaka unaingia kaburini,level ya heshima uliyokuwa nayo JF isirudi tena!

Ni bora ukubaliane na hali na uwe kijani kweli kweli,,kuwa kama polepole tu!
Hivi heshima za JF zinamanufaaa gani?
 
Naona umeamua kufanya kampeni kwa Gwajima. Sasa kwa taarifa yako ni kuwa Kunduchi ina maji ya Dawasco na bahati mbaya sana mimi ni mtaalam kwa hiyo maji ya kisima cha chini Kunduchi ni maji ya chumvi sana hivyo naamini hayapo kwa matumizi sasa.

Halafu kutoa pump za maji ya Kisima cha chini Ujerumani nayo ni ishu? Vile vi pamp vipo hata Kariakoo vimejaa tele!

Mkuu emb kuwa na adabu na kichwa chako na ujue kuwa unaleta mada zako kwa wataalam!
Sawa vipo kariakoo, swalI ni kwamba Halima ameshawahi hata ku chukua pesa ya jimbo kuwanunulia hivyo viji pump?

Kwa taarifa yako HM hapati kitu kawe.

Hayo maji ya Dawasco kumbuka ni mabomba ya gwaji boy
 
Pascal Mayalla naomba nikufadhili na kama unaishi mitaa ya Kunduchi basi nataka nikuchimbie kisima cha mita 60 kwenda chini pamoja na kukununulia submersible pump na nakuwekea na tank kabisa ili ujue kuwa hiyo ni ishu ndogo sana! Ila kwa Kunduchi maji utayatumia kumwagilia bustani maana hata ng'ombe akiyanywa atatema! Kuza akili yako aisee.
Acha ujinga wewe, si umeambiwa vilikuwa vya mita 300. Hiyo 60 umetoa wapi?
 
Ccm ambayo ndio in Serikali imefanya nini kwa miaka yote zaidi ya hamsini, kila mwaka wa kampeni wanajisifu wamejenga barabara, hivi kama barabara tu zinajengwa miaka 50 na haziishi je hyoTanzania ya viwanda itawezekana vipi?
 
Back
Top Bottom