G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Pascal Mayalla ni amekuwa mjinga sana this time,badala ya kutuletea blah blah za kijinga zisizo na utaalam wowote ule aitishe hata mchango aombe tumnusuru kutokana na kukosa kabisa kazi ya kumuingizia kipato. Mwambieni tupo tayari kumchangia ili abaki na uhuru wake wa akili ambao anaelekea kuupoteza.
Mada ya kipuuzi sana hii aliyoleta!
Mada ya kipuuzi sana hii aliyoleta!