Uchaguzi 2020 Je, Halima Mdee amefanya nini Kawe kwa miaka 10 ya ubunge wake kustahili kuendelea? Sikia ya Askofu Gwajima, 28 Oktoba fanya uamuzi sahihi

kweli serikali za majimbo zinahitajika ili watz wajue majukumu ya mwakilishi na mtawala, kama hadi msomi kama wewe unauliza mbunge amefanya nini jimboni!!!!??? Kwani alipewa utawala au uwakilishi kodi anakusanya yeye? Nani anayepanga matumizi ya hela jimboni. Katiba mpya muhimu watz hatujielewi nani anawajibika kutatua matatizo yetu
 
Je Mkuu tukisema kwamba mnakubaliana kwenda bungeni kwa gharama zozote ili kupitisha sheria ya misikiti kugeuzwa sunday school tutakuwa tunakosea? Sihitaji kusema sana kama "hamtotumia bunge tena kutusi maaskofu wenye heshima zao kwa maana mtakuwa na kinga!!"
 
Mnaodai serikali ndio haipeleki hela kwenye majimbo ya upinzani

muwe hata mnaangalia majimbo mengine ya upinzani hali iko vipi

nendeni mikumi huko kwa bwana Joseph muone mabalaa yake halafu

ndio muongee nje nje nje zenu,Hoja hamjibu mpo kumshambulia paschal

kaleta mjadala watu mseme yupi n yupi hata kama n kampeni sawa mkosoeni

kulingana na thread inavyotaka sio kuleta ujuaji mwingi,ki ufupi Halima this time Aje kitaani tu.
 
Mkuu tatizo la "maccm" wengi ni kuamini katika udini na ukabila.
HAWATUPANI NDIO MAANA ZILE KAULI "Huyu MWENZETU huyu KIBARAKA zingaliko hata leo!!
Hivi aliyesema hapeleki maendeleo kwenye upinzani ni nani? Hivi hali ya Ilala na Kawe ni ipi?
 
wananchi mlioko Kawe mnaulizwa Mdee kafanya nini jimboni kwake?
Hili swali bado halijajibiwa pamoja na uzi umefika page ya 9
Mimi ni mkazi wa Kawe sijawahi kumuona Mbunge wa jimbo hili kwa miaka 6 iliyopita pamoja na kuwa mhudhuriaji mzuri wa mikutano ya maendeleo huku upande wa Bunju. Mtu pekee nilemuona akishughulikia matatizo ya wananchi hasa ya ardhi alikuwa Waziri Lukuvi. Sijui Halima Mdee anafeli wapi hatumuoni kabisa jimboni ila kwenye vyombo vya habari akipambana na dola na kukwaruzana na spika.
 
Gwajima alishasema hawezi kutaka ubunge wala urais kwani huko yeye kama mtumishi wa Mungu itakuwa ni kujishusha hadhi.

Urais na ubunge alisema ni kuwatumikia wanadamu.

Gwajima alirekebisha lini maneno yake hayo? Huu si ndiyo ule uaskofu uchwara?
Uko sahihi mkuu,huyu Pascal badala ya kumjadili mgombea wao kigeugeu unamrukia Halima hivi wamelogwa??Halafu mccm analeta mada hapa tumfanyie assessment Halima kwa lipi watamfanyia fair??wazinzi na wakabila hawawafanyii assessment mimi nadhani huyo na hao waliompitisha mzinifu ndio wakufanyiwa assessment maana huyo mgombea wao hata wajumbe walimkataa vitu vya ajabu kabisa hivi.
 
Jibu hoja ,acha ufala ,Halima Mdee kaifanyia nini Kawe ndani ya miaka kumi akiwa mwakilishi wa jimbo ?
1....
2.....
3.....
4......
5.......


Ulitaka ajenge uwanja wa ndege kama huyo mvutabangi wako wa Chato?????

Baki na huyo Askjofu wako wa mivutu
 
wananchi mlioko Kawe mnaulizwa Mdee kafanya nini jimboni kwake?
Hili swali bado halijajibiwa pamoja na uzi umefika page ya 9


Endelea kumpigia debe Mlaji mivutu ,

Kwani CCM imefanya kitu gani cha maana miaka zaidi ya 50 sasa
 
Kumchagua mtu kwa vile ana pesa za kuchonga barabara ni kujidhalilisha maana mtakuwa mmenunuliwa. Chagueni mtu atakayewapigania ili mtendewe haki kutokana na kodi mnayolipa. Maendeleo sio fadhila, ni haki yenu.
Amandla...
Pasikali ameshakuwa mwana siasa (ndio maana kaingia mchakato). Hapa anaonyesha uelewa wake wa jukumu la mbunge. Hawa ndio wanasema maendeleo hayana chama, halafu hapo hapo wanasema ukitaka maendeleo chagua CCM. Hata aseme je hawezi tena kuwa neutral au anafikiri sisi ni mapoyoyo.
 
Kwa nini usitwambie ccm imefanya nini Kawe kwa miaka 60 ikikusanya kodi zao?
Huyu Mayala kweli Mayala, njaa imempanda kichwani
 
Hapo alipo njaa imeshapanda kichwani, hajitambui tena kawa Mayala ( njaa) kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…