Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Post paid ya tigo iko vzrKama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
Sijajua na naingia kwenye dilema , nilijiunga tarehe 12 sept lakini ilipofika tarehe 26 ikaanza kupungua nikawauliza, wakanijibu kuwa kuna tatizola mtandao , lkini hata leohii naambiwa labda b u ndle limek at a s a s a sijui inakuwa na usahihi ni ipiMie natumia halotel ya elf 50 sijawahi kujuta nakuwa youtube kwenye tv vizuri tu
kifuruh cha unlimited hakipo tena jiunge vifurush vingne achana na hiko cha 50k sio wewe ni kwa wote ilitukutaSijajua na naingia kwenye dilema , nilijiunga tarehe 12 sept lakini ilipofika tarehe 26 ikaanza kupungua nikawauliza, wakanijibu kuwa kuna tatizola mtandao , lkini hata leohii naambiwa labda b u ndle limek at a s a s a sijui inakuwa na usahihi ni ipi
Hamia vodacomkifuruh cha unlimited hakipo tena jiunge vifurush vingne achana na hiko cha 50k sio wewe ni kwa wote ilitukuta
Kwasasa, baada ya malalamikko kuwa mengi angalau wamepandisha speed kutoka 0.5 mbps to 2 mbpsUPDATE ya HIKI kifurushi Ipoje Wadau kwa sasa
2mbps mpaka GB ngap? Total unatumia gb ngap kwa mwezi?Kwasasa, baada ya malalamikko kuwa mengi angalau wamepandisha speed kutoka 0.5 mbps to 2 mbps
ukimaliza Gb 25 za mwazo wanakupatena GB 77 za ziada na baada ya kumaliza hizo zote ndio speed inashushwa mpaka 2mbps.2mbps mpaka GB ngap? Total unatumia gb ngap kwa mwezi?
Mpaka GB ngap? Ama ni unlimited baada ya hapo? Ukitumia 1TB still ni 2mbps?ukimaliza Gb 25 za mwazo wanakupatena GB 77 za ziada na baada ya kumaliza hizo zote ndio speed inashushwa mpaka 2mbps.
Ok, nimekuelewa, ila sasa kwa matumizi yangu itakuwa ngumu kugundua ukomo wa hiyo speed ya 2Mbps. Kwa mimi, matumizi yangu hayazidi GB 400+ kwa mwezi, kwa hiyo sijawahi kugundua ukomo wa hiyo 2Mbps. Ila, kwa maelezo yao kutoka customer care kuwa hiyo 2Mbps ni unlimited, tatizo ni kwamba mara nyingi wanakuwa hawana ukweli kwenye taarifa zao kuhusu hichi kifurushi.Mpaka GB ngap? Ama ni unlimited baada ya hapo? Ukitumia 1TB still ni 2mbps?
GB 400 ni figure nzuri mkuu, Asante kwa feedback.Ok, nimekuelewa, ila sasa kwa matumizi yangu itakuwa ngumu kugundua ukomo wa hiyo speed ya 2Mbps. Kwa mimi, matumizi yangu hayazidi GB 400+ kwa mwezi, kwa hiyo sijawahi kugundua ukomo wa hiyo 2Mbps. Ila, kwa maelezo yao kutoka customer care kuwa hiyo 2Mbps ni unlimited, tatizo ni kwamba mara nyingi wanakuwa hawana ukweli kwenye taarifa zao kuhusu hichi kifurushi.
Hapa mtaalam una maoni gani?Mpaka GB ngap? Ama ni unlimited baada ya hapo? Ukitumia 1TB still ni 2mbps?
Speed kawaida tu mkuu, sio kubwa wala sio ndogo, matumizi ya kawaida kustream HD video, kuangalia mpira, kubrowse etc ipo vizuri kiasi chake.
Voda hawana hii huduma?Sorry unapaswa kwanza ujiandikishe kama SME(Small and Medium Enterprise) kwenye wakala wa Airtel. Unatakiwa uende na TIN number na leseni ya biashara. Kama una vitu hivi ni rahisi tu na utapata huduma ya internet kwa nusu tu ya bei ya kawaida. Mfano mimi nilikuwa napata GB 9.5 kwa 20,000/= lakini baada ya kujiunga napat GB 20 kwa hizo hizo 20,000/=. Pia kuna vishoka wanafanya kazi hii lakini uwe makini.