Je, hapa bongo kuna mtangazaji handsome kumzidi Moze Mutente?

Je, hapa bongo kuna mtangazaji handsome kumzidi Moze Mutente?

Status
Not open for further replies.
anatangaza station gani hili jina ndio nasikia sasa hivi.
 
Duuuh. Kweli wanawake mna kazi.
Usiwalazimishe wanawake wenzako wapende kile ukipendacho.
Picha zako kwanza hazifunguki.
Nokia yangu imegoma kufungua ila nnachokiamini. Unaweza ukawa unapenda mabarza men ila wengine hawawapendi.

Kama upo tayari kugombania poda na mafuta na mumeo wenzako wengie hawapo tayari wanapenda wanaume sura mbaya kama mimi hapa
 
Mwanaume u jandsome wake ni chapaa baba,kama huna fweza vingine vyote ni ubatili mtupu na kujilisha upepo.
 
59774af745c2bfa384ce9794a314884b.jpg
Wengine Sio watangazaji lakini tunajiamini tuko vizuri .mbona huyo wakawaida sana.
 
Nasikia hii kauli ya "Mwanaume mashine ni kujipooza tu".
Unakuta mtu ela hana, sura hana, anajisifu Mwanaume mashine.
Sio ajabu hata Mashine kwake ni shidaaaa
Alafu ilivyo mtihani kuung'amua huo 'umashine' wa muhusika, tofauti na pesa zitaonekana, au utanashati unaonekana kirahisi.
 
Nasikia hii kauli ya "Mwanaume mashine ni kujipooza tu".
Unakuta mtu ela hana, sura hana, anajisifu Mwanaume mashine.
Sio ajabu hata Mashine kwake ni shidaaaa
Alafu ilivyo mtihani kuung'amua huo 'umashine' wa muhusika, tofauti na pesa zitaonekana, au utanashati unaonekana kirahisi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom