Je, hapa bongo kuna mtangazaji handsome kumzidi Moze Mutente?

Je, hapa bongo kuna mtangazaji handsome kumzidi Moze Mutente?

Status
Not open for further replies.
Nasikia hii kauli ya "Mwanaume mashine ni kujipooza tu".
Unakuta mtu ela hana, sura hana, anajisifu Mwanaume mashine.
Sio ajabu hata Mashine kwake ni shidaaaa
Mkuu ukiwa Na kila kitu ukakosa mashine mkuu utaona kama Dunia imekutenga mkuu,hivi vitu vina mahusiano aiseee hakuna kimoja kilichokamilika
 
59774af745c2bfa384ce9794a314884b.jpg
Wa kawaida tu
 
Sauti ya moses mutente inanimaliza mno. Ila huo uzuri wake haujanivutia...
 
Kwaio huyo ndo handsome? ama kweli kila mtu na vile anavyoona
 
Mimi ndio hendi samu zaidi yao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom