Je, hapa duniani pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?

Je, hapa duniani pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?

Tangu kuanza kwa hii mifumo ya uongozi ya Urais, hivi pameshawahi kutokea Rais Dikteta mwanamke?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MDOMO ULIPONZA KICHWA.
MKAPAMBANE NA LIKESI LA UHAINI KWA MIAKA 5, JAMANI USTAARABU JAMBO LA BURE,TUHESHIMIANE,TUSITOE KAULI TATA,ZENYE KUHATARISHA NCHI YETU,
That's mean ushahidi upo na umekamilika ndipo kukamatwa kukafwata.
 
Back
Top Bottom