Mwambie apitie Kanisani akawaonjeshe walinzi wampe feedbackKama unaogopa, irudishe ulipoitoa au nipe lokesheni
A promise is a debtAstaghafirullah 😁😁
Achana na haya mambo usije vunja nguzo za imani..
Hapa naongea na nina miezi sijakitafuna
Sikuona hii, sio yenyewe mkuuView attachment 2980807
Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
Atakuja kaka mkubwa Ivan Stepanov atamalizia deni. UsijaliA promise is a debt
Aaah mkuu ata wewe unapiga, chenyewe kikoje?Siyo chenyewe
Pata ladha ya ushuz mbrrr mbrrrr mbrrAngalia usiache kijambo chako kile tupo mezani
Mtoto wa kiume unaongea mambo ya ajabu, dalili za kua Anti maghayoPata ladha ya ushuz mbrrr mbrrrr mbrr
Mbrrrr mbrrrr mbrrr pokea hiyo.Mtoto wa kiume unaongea mambo ya ajabu, dalili za kua Anti maghayo
Kama una ujasiri wa kuishi nchi inayoongozwa na mafisadi wa CCM, unaogopa nini kula vitu vidogo kama Kitimoto.Nimepita bar fulani ina mgahawa, nimeulisa nyama choma wakasema kipande 6,000, nikasema anifungie.
Sasa nyama imechomwa, imefungwa kwenye kile kifuko cha karatasi cha khaki, ndani kuna foil, chaajabu nyama inachurusika mafuta hatari.
Je huyu ni mbuzi kweli?
Sio 🤣View attachment 2980807
Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
Sawa anti maghayoMbrrrr mbrrrr mbrrr pokea hiyo.
Kammon
We ni mmasai!?? Kwanza umeulisa Sasa Tena haioneahi visuri.....View attachment 2980807
Emb angalia mkuu kama utaelewa ingawa picha haineshi visuri
MBRRRRRRSawa anti maghayo
Wakijua tu mkuu🥴Aaah mkuu ata wewe unapiga, chenyewe kikoje?