Je, hapa sijalishwa Nguruwe kweli

Kama una ujasiri wa kuishi nchi inayoongozwa na mafisadi wa CCM, unaogopa nini kula vitu vidogo kama Kitimoto.
 
Kiingiacho tumboni hutoka ogopa sumu peke yake kama umekula wala usiwe na wasi wasi na kama ni tamu mbuzi naye nimtamu vilevile mkuu. Hapa mjini mshukuru mungu tu kukupa uzima hadi leo vingi halali na visivyo halali umesha kula mkuu na unadunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…