Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,858
- 14,733
Kama maamuzi yashafanyika sisi ni nani hadi tuhoji au kushauri? Otherwise labda tujadili kujifurahisha kwa maana kama zishauzwa hatuwezi kupindua matokeo. Ni sawa na mtu akope bank halafu asilipe halafu ujiulize kama ni sasa kufilisiwa au sio sahihi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app