Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

secret file, Ngoja nikuulize swali: Wewe ungekuwa una thamani ya kimuziki kama ya Harmonize few days kabla hajaondoka Wasafi. Je, ungekuwa unapiga shoo kwa shilingi ngapi?! Pili, kama inakuja kampuni na kutaka uwe balozi wao, ungekubali shilingi ngapi kwa mwaka per product? Na tuseme Sony wanataka kukuingiza kwenye label yao, ungekubali mkataba wa shilingi ngapi?!
 
Sidhani kama bado ana deni kubwa kiasi hicho alafu anafungua kituo cha redio huko kwao Mtwara! Kufungua kituo cga redio sio kitu kidogo!! Anyways kila mtu anajua namba zake DocJayGroup,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo anajielewa million 500 sio nyingi kwa harmonize
Kama management yake inafahamu vizuri biashara ya muziki, basi alikuwa sahihi kuuza hizo nyumba kwa sababu wakati yupo WCB, Harmonize alikuwa na thamani zaidi ya hiyo 500M. Changamoto ya uongozi wake mpya ni kuendelea kuipandisha thamani yake ili kazi zake mpya ziweze kurejesha hiyo 500M anayotakiwa kulipa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dawa yake aende mahakamani aka u-chalenge huo mkataba kwamba hakuuelewa, hakufafanuliwa. Pili alikuwa haimudu lugha ya kingereza vizuri wakati anasainishwa mkataba. Mkataba gani huo? Jela tupu hapo.
Alisema mambo ya mahakama hataki. Anataka waachane kwa amani. Issue ni kwamba - Mambo ya fedha hayanaga amani. Atajua hilo hivi punde au baadaye. Kama ulivyosema sometimes inabidi kutafuta namna kupambana mahakamani japo hatima yake most likely WCB wangemshinda tu.
 
DocJayGroup, Tukiweka ushabiki pembeni, unaamini kabisaa hamo alikuwa na advantage ya kufika alipofika bila ya WCB !!!!.....

Kwanza hiyo 500M its fair kabisaaa ukilinganisha na investment WCB imefanya na Yeye Kama Harmo kwa brand value aliyoachiwa, ndani ya miaka mitano ataweza kuirejesha "kama atakuwa na uwezo wa kukaa on top japo chances ni ndogo kiasi haswaa katika soko la Africa"
 
myplusbee, Bora umeweka vitu sawa. 500M kwa Harmo ni fair kabisaa maana mwanzoni Diamond alitumia nguvu nyingi sana kumpromote na huwezi jua ni lini alianza kumuingizia faida nzuri

Leo Harmo anapiga show hadi Kenya na anajaza stadium yaani hilo ni soko la EA tu. Kwa thamani kama hiyo watu walitegemea WCB imuache bure au kwa 100M !!!.. it doesnt make sense
 
dogo anajielewa million 500 sio nyingi kwa harmonize

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo kitu ambacho nimekuwa nikiwaambia watu hicho! Thamani ya Harmonize pale alipo ni zaidi ya 500M! Na nina uhakika kama WCB wangefahamu in advance kwamba Harmonize angefikia level zile basi mkataba wake ungemtaka kuuvunja kwa zaidi ya hiyo 500M kwa sababu thamani yake ni kubwa maradufu, labda management yake mpya ndo ichemshe ku-maintain na kuongeza status yake!
 
Bora umeweka vitu sawa. 500M kwa Harmo ni fair kabisaa maana mwanzoni Diamond alitumia nguvu nyingi sana kumpromote na huwezi jua ni lini alianza kumuingizia faida nzuri

Leo Harmo anapiga show hadi Kenya na anajaza stadium yaani hilo ni soko la EA tu. Kwa thamani kama hiyo watu walitegemea WCB imuache bure au kwa 100M !!!.. it doesnt make sense
Tena naamini thamani ya Harmonize ni zaidi ya hiyo 500M, tena kama ulivyosema, wamemfanyia fair kweli kweli! Watu wanachukulia simple sana haya mambo.
 
Hamna kitu cha bure utolewe huko kwenye uaunderground kabisa upromotiwe utafutiwe makollabo ya nje shows mbalimbali upewe exposure then ujitoe kirahisirahisi hivi haaahhhah hata kama ni uhuru inabidi ujitathmini umetolewa wapi sehem gani na umefikia wapi .Amlipe tu Mondi hizo ela afanye yake.
Alipe tu deni la watu kaokotwa Saiv anajikuta mwamba acha apambane na hari yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena naamini thamani ya Harmonize ni zaidi ya hiyo 500M, tena kama ulivyosema, wamemfanyia fair kweli kweli! Watu wanachukulia simple sana haya mambo.
Kabsaa Harmo ashatengenezewa thamani zaidi ya hiyo. Wajiulize tu akipata endorsements za makampuni labda kwa mwaka ataingiza sh ngapi yaani hapo toa shows, malipo ya online platforms na vitu vingine

Si watu walikuwa wanasema ana shares na ile Kenny pictures wanaoshoot videos sasa vipi aje na bidhaa yake mwenyewe leo hii !!!... thamani yote hii naona 500M ni zaidi ya fair
 
Ndo kitu ambacho nimekuwa nikiwaambia watu hicho! Thamani ya Harmonize pale alipo ni zaidi ya 500M! Na nina uhakika kama WCB wangefahamu in advance kwamba Harmonize angefikia level zile basi mkataba wake ungemtaka kuuvunja kwa zaidi ya hiyo 500M kwa sababu thamani yake ni kubwa maradufu, labda management yake mpya ndo ichemshe ku-maintain na kuongeza status yake!
Tatizo harmo ni jina tu lakini ukija kwenye sekta zingine kisanaa anapwaya. Hicho ndo kitu WCB iliweza kucheza nacho, sasa new management kazi wanayo maana ni rahisi kuipandisha brand ya Ruby kuliko ya Harmo. Kama unaelewa ni nini namaanisha
 
500 million cash ukiambiwa uikohoe mara moja na kwa mkupuo ni pesa mingi aisee kwa msanii wa bongo aliyeajiriwa. Labda sio mingi kwa Mondi, ila kwa Konde boy ndio unaona imebidi auze mali na bado anahaha tu.
Let me tell you something! Harmonize sio Mpumbavu ingawaje anaweza kuwa mjinga!! Sio mpumbavu kwa sababu wakati yupo WCB alikuwa anafahamu thamani ya shows zake! Kwa maana hiyo, kwa kuangalia thamani ya shows zake TU bila kuangalia issues zingine kama endorsement, tayari alishafahamu idadi fulani ya shoo zake zinaweza kabisa kufidia hiyo 500M.

Lakini nimesema anaweza kuwa mjinga kwa sababu inawezekana hakutafakari kwa makini na kujua kwanini thamani/bei ya shoo zake ilikuwa hivyo! Mosi, inawezekana hakuangalia kwamba WCB ni Brand kubwa sana kwenye music industry, na kwahiyo it's obvious bei ya show za wasanii wake lazima itakuwa kubwa tu! Pili, inawezekana hakutafakari kwa makini na kujua WCB kuna negotiators wazuri wanaohakikisha Wateja wanalipa bei mzuri kwa wasanii wao!!

Ni kutokana na hilo ndo maana nikasema thamani yake wakati yupo WCB ilikuwa maradufu kuliko hiyo 500M ukichanganya na nyimbo kadhaa zilizogharamiwa na WCB. Sasa changamoto ni kwa management yake kuendelea ku-maintain na kuikuza zaidi ile status yake aliyokuwa nayo kabla hajaondoka WCB. Kama hivi sasa wanatapata basi wameshindwa ku-maintain level yake aliyokuwa nayo pale WCB. Na kwa bahati mbaya sana, hilo sio tatizo la WCB bali ni la management yake!
 
Huyu dawa yake aende mahakamani aka u-chalenge huo mkataba...
kwamba hakuuelewa.....
hakufafanuliwa...
pili alikuwa haimudu lugha ya kingereza vizuri wakati anasainishwa mkataba...
mkataba gani huo?
jela tupu hapo
Unaenda mahakamani, unashindwa ..wanaongeza mil 100 juu kama usumbufu na gharama za case

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom