Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

Aslay anaimba sana yule mtoto jamani ila huyo marioo moyo wangu umegoma kumpokea kabisa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Marioo ni average singer ila lyrical genius. Ana kipaji kikubwa sana cha kutunga. Binafsi yangu huwa sisikilizi wimbo kwa sababu upo mainstream ila huyu jamaa wimbo wa inatosha na Raha ndio zilinifanya nimkubali
 
Wa tz huwa mazwazwa ,yan kabisa umeamin kua ni kwel alikua na hzo nyumba,..yaan nyie hamjawajua tuu bado wasanii wa bongo kwa uongo,

Kwa jins wanavyopenda sifa hzo nyumba tungezijua,iweje ulishwe tango por nawee ukubali
Hahaaaaaa hata hii issue ya Harmo bado nina doubt kama ipo real kwa asilimia zote
 
Inawezekana ila ww unaamini kuhusu kuwa alikuwa na nyumba 3 mana nakumbuka mwaka jana grobal walienda pale na wakamhoji mlinzi wa pale akasema hajui kama pameuzwa na akaulizwa babutale akasema hajui kuhusu harmonize kulipa 500mil je why babu tale akwepe swali hilo na huku tunajua wcb walivyo kiujumla inawezekana kweli hamornize alitakiwa kulipa ila sio hiyo 500mil kwa sisi tuliowazoea wasanii hatuwezi kushangaa kuongopa
Hivi kwanini mnaona 500M ni pesa nyingi sana?! Hivi umeshawahi kujiuliza nyimbo zote za Harmonize zina thamani gani?! Tena hapa usisahau jamaa kipindi cha nyuma video production walikuwa wanafanyia nje ya nchi; na walikuwa wanatoka Bongo kwa kundi!! Piga hesabu za tickets, hotels hata kama tu-assume walikuwa wanalala mchongoma, ingiza gharama za kumlipa video director n.k! Hivi unadhani ngoma moja itagharibu bei gani hapo hasa ukizingatia hata locations in most cases unalipia! Magari unalipia! Nini sijui na nini, unalipia! Chukua hizo gharama kwa wimbo mmoja halafu uangalie na idadi ya nyimbo alizofanya Harmonize!

Unaamini wanaweza kumwachia aende kirahisi rahisi tu na mzigo wote huo?!

Nyimbo zake nyingi zinapiga views za kutosha, Instagram na Youtube accounts, zina followers za kutosha!! Ni kupitia kwenye hizo issues ndizo pia zimemfanya Harmonize awe anapata shows ndani na nje ya nchi! Ni kupitia hayo hayo ndiyo yanampa uwezekano wa kupata endorsement na hata kusainiwa na labeles kubwa kama Sony!

Yaani pamoja na yote hayo bado mnadhani 500M ni pesa nyingi sana?! Hivi una habari ile akaunti ya Instagram na Youtube peke yake na zenyewe ni pesa zile?!

Chifu, entertainment industry ni very stupid ndo maana usipokuwa makini ni rahisi sana kufulia! Ni rahisi sana kufulia kwa sababu kwa mambo yanayoonekana ya kijinga jinga tu lakini watu wanapiga pesa za kutosha, matokeo yake wanaona maisha si ndo haya, bila kujua kwamba kuna kesho!!
 
Duh! Eti kuhama ni made-up saga!! Ili kiwe nini?! Si ajabu utasema ili kummaliza Kiba!!
Hiyo ni strategy ya kibiashara kuua ushindani na kutawala industry. Angalia Kusaga alichofanya kwa Wasafi media vs clouds na pia angalia makampuni mengi haswa mabasi, unakuta yana majina tofauti ila yanamilikiwa na mmiliki mmoja. Jifunze kiasi kuhusu saikolojia ya wateja maana business moguls dunia ndio hutumia kuuza biashara zao
 
Hiyo ni strategy ya kibiashara kuua ushindani na kutawala industry. Angalia Kusaga alichofanya kwa Wasafi media vs clouds na pia angalia makampuni mengi haswa mabasi, unakuta yana majina tofauti ila yanamilikiwa na mmiliki mmoja. Jifunze kiasi kuhusu saikolojia ya wateja maana business moguls dunia ndio hutumia kuuza biashara zao
Kwa mabasi hawana uhakika na branding strategy zao. Pia maajali nk bus line moja ikichafuka kama ndio hio tu unayo basi umekwisha. Kwa hio wanafanya kama insurance moja ikichafuka na kuanguka nyingine inaokoa jahazi. Asante kuendelea kuchangia mada Bwana Eyce
 
Inawezekana ila ww unaamini kuhusu kuwa alikuwa na nyumba 3 mana nakumbuka mwaka jana grobal walienda pale na wakamhoji mlinzi wa pale akasema hajui kama pameuzwa na akaulizwa babutale akasema hajui kuhusu harmonize kulipa 500mil je why babu tale akwepe swali hilo na huku tunajua WCB walivyo kiujumla inawezekana kweli hamornize alitakiwa kulipa ila sio hiyo 500mil kwa sisi tuliowazoea wasanii hatuwezi kushangaa kuongopa.
Sometimes kisheria hata details za mkataba wa kuachana sio vizuri kuuweka hadharani kama alivyofanya Harmo. Inaweza ikaja kuku-cost mbeleni. Wengine kama babu tale nk hawapendi sana kuongelea hayo masuala ya kiofisi sababu yanatakiwa kuongelewa na mtu mwenye ruhusa na mamlaka ya kufanya hivyo. Huoni hata Mondi tu mwenyewe haongelei details za mkataba wa kuachana?
 
Duh! Eti kuhama ni made-up saga!! Ili kiwe nini?! Si ajabu utasema ili kummaliza Kiba!!
Wew wa mkoan huwez elewa.hiv hujui bifu znatengenezwa ili kupiga pesa.hyo ni marketing strategy ,nenda kina tale wakakupe shule,.we hujiuliz wasaf na clouds CEO ni mmoja ila redio ni kama zna bifu,..we hukumwona kusaga anahojiwa na jonijo...wa mkoan buana
 
Nasema hivi,mim nina uthibitisho..rafik yangu ni mpiga picha wa hao majamaa kwa taarifa yako,hata hilo bifu .harmo kuhama ni made up saga,..hata hyo hamo kumpa platnmuz 500mil,..si kwel,..ila hamo ndo anajenga sasa hiv mjengo
Una vituko sana ndugu yangu. Ila jokes zako ni nzuri pia tucheke kidogo 😂😂😂😂
 
Let me tell you something! Harmonize sio Mpumbavu ingawaje anaweza kuwa mjinga!! Sio mpumbavu kwa sababu wakati yupo WCB alikuwa anafahamu thamani ya shows zake! Kwa maana hiyo, kwa kuangalia thamani ya shows zake TU bila kuangalia issues zingine kama endorsement, tayari alishafahamu idadi fulani ya shoo zake zinaweza kabisa kufidia hiyo 500M.

Lakini nimesema anaweza kuwa mjinga kwa sababu inawezekana hakutafakari kwa makini na kujua kwanini thamani/bei ya shoo zake ilikuwa hivyo! Mosi, inawezekana hakuangalia kwamba WCB ni Brand kubwa sana kwenye music industry, na kwahiyo it's obvious bei ya show za wasanii wake lazima itakuwa kubwa tu! Pili, inawezekana hakutafakari kwa makini na kujua WCB kuna negotiators wazuri wanaohakikisha Wateja wanalipa bei mzuri kwa wasanii wao!!

Ni kutokana na hilo ndo maana nikasema thamani yake wakati yupo WCB ilikuwa maradufu kuliko hiyo 500M ukichanganya na nyimbo kadhaa zilizogharamiwa na WCB. Sasa changamoto ni kwa management yake kuendelea ku-maintain na kuikuza zaidi ile status yake aliyokuwa nayo kabla hajaondoka WCB. Kama hivi sasa wanatapata basi wameshindwa ku-maintain level yake aliyokuwa nayo pale WCB. Na kwa bahati mbaya sana, hilo sio tatizo la WCB bali ni la management yake!
FACT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nakubaliana na ww kwa 100% adse ... Uhuru ni Jambo la muhimu Sana ni vile watu hawajui haki yao ya kimsingi hiyo ..ya kuwa huru ...wengi wanaishi kwa utumwa....
Siku zote maishani MWAJIRIWA hana uhuru kabisa. Uhuru ni kwa watu waliofanikiwa sana katika makampuni waliyoyaanzisha. Kama alitaka uhuru, angeanzisha kampuni yake mwenyewe tokea mwanzo kama Mondi alivyoanzisha WCB lakini sio kusafiria nyota ya mwenzako halafu pia utake uhuru wakati huo huo. Mambo hayaendi hivyo kimaisha au kibiashara.
 
Wew wa mkoan huwez elewa.hiv hujui bifu znatengenezwa ili kupiga pesa.hyo ni marketing strategy ,nenda kina tale wakakupe shule,.we hujiuliz wasaf na clouds CEO ni mmoja ila redio ni kama zna bifu,..we hukumwona kusaga anahojiwa na jonijo...wa mkoan buana
HUNA UNACHOJUA WEWE, kwahiyo piga kimya!!
 
Back
Top Bottom