Je, Harmonize alifanya uamuzi sahihi kuuza nyumba zake 3 katika harakati za kujitoa WCB? Wewe ungefanyaje?

Msanii wakutengenezaa??

Unamaana gani nandy anapoimba ni sio yeye ni ana kifaa cha kiimbia ndomoni gás au Wakutengeneza vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni kweli ila kinachofanyika huwa kina faida zaida ya moja. Mfano leo hii mtu anaichukia clouds kutokana na story za hapa na pale na anaamua kuwa fan wa wasafi bila kujua zote ni za mtu mmoja. So kuna mafaida mengi ingawa hiyo ya kusambaza RISK ni kubwa pia

Pamoja mkuu
 
Msanii wakutengenezaa??

Unamaana gani nandy anapoimba ni sio yeye ni ana kifaa cha kiimbia ndomoni gás au Wakutengeneza vipi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasanii wengi Bongo originally wanakuwa below the average! Inafanyika kazi ya ziada kuwapika hadi kufikia walipo! Wanakuwa hawapo vizuri kwenye sauti, melody na mengine!! Ukimchukulia mtu kama Nandy, kaanza muziki zamani sana lakini bado alikuwa average! Ni hadi Ruby alivyovurugana na Clouds, ndipo Clouds wakahamishia nguvu zao kwa Nandy! Kuna wasanii hadi kesho hadi melody hadi uwatengenezee, ndipo wao wapite mule mule!

Hiyo ni aina ile ya wasanii ambao Majani zamani alikuwa anawatoa nduki mara baada ya kuanza kuingiza voko!
 
Watu wengi hamjui tu hamna kitu chepesi kama kuwa number moja,ila hamna kitu KIGUMU kama kumaintain kuwa number moja kila siku.

Aslay, Darassa hawa washawahi kuwa number moja ila wakashindwa kumaintain,sio kwamba hawana vipaji bali hawana mngt nzuri ya kuwa simamia na kusimamaia kazi zao.

Kwenye kumaintain na connection hapo ndipo WCB wazuri.Kitu kingine WCB wanaweza wakabebana (wakafanyiana induction) wao kwa wao mf tu sasa hivi wana haha kumrudisha Lavalava naamini watafanikiwa.

Mngt ya Harmo ina kazi ya ziada ya kumaintain brand aliyotoka nayo WCB na si kazi ndogo,wakiteleza kidogo tu harmo tutamkosa.
 
Chama kitamlipia, 500m kitu gani bwana?!
 
Marioo ni average singer ila lyrical genius. Ana kipaji kikubwa sana cha kutunga. Binafsi yangu huwa sisikilizi wimbo kwa sababu upo mainstream ila huyu jamaa wimbo wa inatosha na Raha ndio zilinifanya nimkubali
Huyu mwamba anamkono wa uandishi sio kidogo, kwenye nyimbo zake hua sifuati burudan sana, tungo zake tu..anajua sana kuandika, watu wengi hawamwelew kwasababu mashairi ya maana siku hz sio issue tena....mfumo wa uimbaj wa ki naijeria umetuvuruga mno...lait kama angekua ni kizazi cha 2000-2010 hapo katikat..mashair yake yangedumu milele..huyu mtoto n wakizaz kile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha Diamond kukaa kimya..kinaua dhana nzima ya bifu na upigaj pesa..kinaua kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
B1 ni hela ndogo sana mkuu,sasa kama show moja ya msanii kma Harmonize inaingiza zaidi ya M 30,tufanye roughly anafanya show moja kwa mwezi ina maana kwa mwaka 1 nazungumzia sales za zaidi ya M300 hatujapiga miaka 10.seems bado unaiunderestimate hii industry!
 
I wish diamond amsainishe Marioo kijana ana kipaji sana na anaonekana ana juhudi sema anahitaji platform huyu hatahitaji kutumia nguvu nyingi kama aliyotumia kwa Hamo
 
Hivi ilishindikana jamaa kuanza kununua vifaa vyaje kimya kimya i.e vifaa vya studio ya kurecord mziki, kurecord video, na mwisho kua na recording label na bila kusahau kua na online TV i.e Konde TV, kutafuta connection za kufanya matamasha nje ya nchi halafu hapo ndo anajitoa maana kujitoa kama alivyojitoa kimbuzi mbuzi ni risk kubwa walau angelikua na hivyo vitu inakua rahisi hata watu kumsimamia vizuri au anavyo hivyo vyote?
 
WASAFI MEDIA CEO wake ni DIAMOND PLATNUMZ na clouds media CEO wake ni Sebastian maganga hapo kwenye CEO umekosea
 
tatizo mkuu inakuja vipi, unakuta mtu underground, huku akiwa na shauku ya kutka kutoka kimuziki hapo hata angeambiwa miaka100 na bado angesaini sisi tungemshangaa.

Kumbe muda mwingine sio kosa lake, ila tuangalie muda na mazingira husika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…