Bila hela hakuna hela. Bila WCB kuwekeza kwake, asingefanikiwa. Hivyo WCB imechangia mafanikio yake kwa kuwekeza kwake kifedha. Tunasema Mungu amtangulie. Lakini kwa sasa anahaha wakati Diamond anachekelea tu. Tatizo alifanya ni kusaini mkataba mbovu unaomuumiza. Na hilo ni kosa alilofanya kipindi hicho lakini linamgharimu sana sasa hivi.
Sio kosa lake kivp Kama unaona mkataba sio rafiki si ungea jitoa Kwenye mziki kivyako haiwezekani nikugharamie kwa miaka 4 kuanzia mavazi mazuri, video Kali Tena na madirector wa nje, show, audio, photographer, ukae hotel Kali,dancers, nipush social network zako ziwe na followers wengi hapo hapo nikulipe alafu uvunje mkataba before ya muda wake alafu uondoke bure bila hata fidia ya kuvunja mkataba me nimekuwa mama yako?tatizo mkuu inakuja vipi, unakuta mtu underground, huku akiwa na shauku ya kutka kutoka kimuziki hapo hata angeambiwa miaka100 na bado angesaini sisi tungemshangaa.
Kumbe muda mwingine sio kosa lake, ila tuangalie muda na mazingira husika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kosa lake kivp Kama unaona mkataba sio rafiki si ungea jitoa Kwenye mziki kivyako haiwezekani nikugharamie kwa miaka 4 kuanzia mavazi mazuri, video Kali Tena na madirector wa nje, show, audio, photographer, ukae hotel Kali,dancers, nipush social network zako ziwe na followers wengi hapo hapo nikulipe alafu uvunje mkataba before ya muda wake alafu uondoke bure bila hata fidia ya kuvunja mkataba me nimekuwa mama yako?
Punguza hasira mkuuDocJayGroup, Nyumba tatu zilikua wapi? Huyu msanii alikua na nyumba moja tu Madale hizo mbili zilikua wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba ngojea nikuambia kitu hakuna mkataba wowote usio na gharama either kwa anayetoa au anayepokea kitaalamu anayetoa anaitwa offeror na anayepokea anaitwa offeree tuchukulie mfano gharama zote alizotumia diamond kwa harmonize, harmonize akashindwa kufanya vizuri sokoni kuanzia home mpaka nje ya nchi hasara hapo angepata Nani?unajua kuna sehemu ndogo sna watu tunapisha, wengi wanamlaumu kwanini akubali kusaini mkataba mgumu kiasi hicho? Na ndio maana nikasema leo hiii unaweza kumsainisha mtu mkataba hata wa miaka200 na akakubali kwa sababu zifuatazo:
1: Mtu anashauku yakutaka kujulikana
2: Ushawishi,mwenye mktaba atatumia ushawish mkubwa sana ili asaini(kumuhadaa)
3: Uelewa,utakuta wenye mkataba wanajaribu kutengeneza mazingira kiasi kwamba wahusika eg familia kuuchambua vizuri
4: Muhusika mwenyewe eg Diamond akuleted makataba kwako unafikiri nani atapata hata muda wa kuangalia madhara yake huko mbeleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahenga walitufunza kwamba Hasira Hasara. Kiukweli hata kama mtu umeajiriwa kazi inayokulipa vizuri, kama unataka kuanzisha biashara binafsi unashauriwa kutoacha day job yako kwanza hadi biashara binafsi iwe na mwelekeo. Umefikiria vizuri sana. Inaonekana jamaa alikuwa na hasira na WCB.. Hasira iliyoleta pupa na akaamua kuacha tu pasipo kujipanga. Tujifunze kwa hilo kosa.Hivi ilishindikana jamaa kuanza kununua vifaa vyaje kimya kimya i.e vifaa vya studio ya kurecord mziki, kurecord video, na mwisho kua na recording label na bila kusahau kua na online TV i.e Konde TV, kutafuta connection za kufanya matamasha nje ya nchi halafu hapo ndo anajitoa maana kujitoa kama alivyojitoa kimbuzi mbuzi ni risk kubwa walau angelikua na hivyo vitu inakua rahisi hata watu kumsimamia vizuri au anavyo hivyo vyote?
Taste ni zile zile za Mbosso+Aslay hamna jipyaNyimbo nazozikubali zaidi kwa Marioo ni pamoja na
1. RAHA
2. INATOSHA--
3. IFUNANYA-
Una haki ya kuamini uaminivyo!!taste ni zile zile za Mbosso+Aslay hamna jipya
Msanii wakutengenezaa?
Unamaana gani nandy anapoimba ni sio yeye ni ana kifaa cha kiimbia ndomoni gás au Wakutengeneza vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndicho nashangaa ngoma kali nandy anazo kibao na zimebamba unamlinganisha na ruby kweli?Umeuliza swali nililotaka kuuliza ila nikasita naongezea aseme ubora wa ruby kwa Nancy ni upi kama ni nyimbo azitaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha mbwembwe dogo yupo vizur labda Kama wivu na husda vinakusumbuaTatizo harmo ni jina tu lakini ukija kwenye sekta zingine kisanaa anapwaya. Hicho ndo kitu WCB iliweza kucheza nacho, sasa new management kazi wanayo maana ni rahisi kuipandisha brand ya Ruby kuliko ya Harmo. Kama unaelewa ni nini namaanisha
Kama show moja anaweza pata 30mil na kauza nyumba zake 3 poa yupo kwenye industry zaidi ya miaka 7 anashindwa vipi kulipa hiyo million 500??B1 ni hela ndogo sana mkuu,sasa kama show moja ya msanii kma Harmonize inaingiza zaidi ya M 30,tufanye roughly anafanya show moja kwa mwezi ina maana kwa mwaka 1 nazungumzia sales za zaidi ya M300 hatujapiga miaka 10.seems bado unaiunderestimate hii industry!
Acha mbwembwe dogo yupo vizur labda Kama wivu na husda vinakusumbua
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mwamba anamkono wa uandishi sio kidogo, kwenye nyimbo zake hua sifuati burudan sana, tungo zake tu..anajua sana kuandika, watu wengi hawamwelew kwasababu mashairi ya maana siku hz sio issue tena....mfumo wa uimbaj wa ki naijeria umetuvuruga mno...lait kama angekua ni kizazi cha 2000-2010 hapo katikat..mashair yake yangedumu milele..huyu mtoto n wakizaz kile
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa nini tukae tunajadili mambo ya mtu binafsi? Baada ya kumjadili huyu, halafu tukurudie wewe kujadili kwa nini ulikula ugali na kisamvu (mfano tu siyo kwamba huo ndio ukweli) siku ya mwaka mpya; nakadhalika. Majadiliano kama haya hayana tija katika kuendeleza nchi.Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB.
Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe.
Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama msanii huria, fedha yote atakayoipata katika kazi zake za sanaa itakuwa ni yake.
Alivyokuwa chini ya WCB alikuwa ni kama mwajiriwa chini ya Diamond na akawa analipwa sio kama mmiliki wa kazi ila kama mwajiriwa wa WCB. Tatizo ni kwamba kutokana na taarifa za MCL, bado hajaweza kuwa msanii huria kwa asilimia zote. Inaonekana bado hajamaliza deni la WCB. Jamaa alishauza nyumba zake pekee ili atoke WCB. Ila sasa deni inaonekana bado halijaisha. Atauza nini tena sasa? Je unavyoona wewe alifanya jambo sahihi kuuza investments zake hizo? Kama ni wewe ungefanyaje?
NB: Muziki na Sanaa ni kazi ngumu. Inahitaji fedha nyingi kufanikiwa. Inaonekana Harmonize sasa atakuwa na madeni makubwa ambayo huwa yanasababisha matatizo ya kifedha. Atapitia wakati mgumu kuwezesha record label yake ya Konde Gang kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Pamoja na yote, tunamuombea kwa Mungu afanikiwe kwa sababu mafanikio ya Mtz mmoja, ni mafanikio yetu wote.
Sawa mjuaj,ila ujumbe umeuelewa kwamba director mwenye hisa nying ni m1WASAFI MEDIA CEO wake ni DIAMOND PLATNUMZ na clouds media CEO wake ni Sebastian maganga hapo kwenye CEO umekosea
wewe ni mama ake?DocJayGroup, Nyumba tatu zilikua wapi? Huyu msanii alikua na nyumba moja tu Madale hizo mbili zilikua wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app