Lakasa chika7
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 454
- 1,270
Je diamond platinum kapotezwa na Harmonize.. au bado..
piga kura
piga kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
piga kuraTafuta hela wewe...
Mitano tena 🤚piga kura
Kweli namba hazidanganyi.View attachment 2278824
View attachment 2278825
View attachment 2278870
View attachment 2278871
Endeleeni kutumia jina la Diamond kutafuta ukubwa.
Bado watoto sana tena sana hata nusu yake hamfikii.
Haya nimewaachia kelele zenu tushazizoea siku hizi hata hazisisimui.
Official records.. Numbers can't lie..!View attachment 2278824
View attachment 2278825
View attachment 2278870
View attachment 2278871
Endeleeni kutumia jina la Diamond kutafuta ukubwa.
Bado watoto sana tena sana hata nusu yake hamfikii.
Haya nimewaachia kelele zenu tushazizoea siku hizi hata hazisisimui.
Baba yake levo umetisha.View attachment 2278824
View attachment 2278825
View attachment 2278870
View attachment 2278871
Endeleeni kutumia jina la Diamond kutafuta ukubwa.
Bado watoto sana tena sana hata nusu yake hamfikii.
Haya nimewaachia kelele zenu tushazizoea siku hizi hata hazisisimui.
Harmonize ndio habari ya mjini, kafanya Hadi watu kulazimisha kutrend kwa visherehe visivyo na kichwa wala miguu, na wengine kuchoma magari.Je diamond platinum kapotezwa na Harmonize.. au bado..
piga kura
Uwezi kusema unafanya vizuri Sana ukiwa still unatumia jina la msanii mwingine hii inaonesha wewe huwezi kuwika bila ya mtu fulaniHarmonize ndio habari ya mjini, kafanya Hadi watu kulazimisha kutrend kwa visherehe visivyo na kichwa wala miguu, na wengine kuchoma magari.
Domo labda kwenye top20 ukoView attachment 2278824
View attachment 2278825
View attachment 2278870
View attachment 2278871
Endeleeni kutumia jina la Diamond kutafuta ukubwa.
Bado watoto sana tena sana hata nusu yake hamfikii.
Haya nimewaachia kelele zenu tushazizoea siku hizi hata hazisisimui.
Wewe ulichojibu na alichoandika sinza pazuri ni tofauti mwenzako kaonesha list ya wasanii wa Africa waliofanya vizuri mwaka 2021 wewe unaonesha list ya wasanii matajiri Africa uoni hapa kama unaongozwa na chuki badala ya hojaDomo labda kwenye top20 uko View attachment 2279140
Umeelewa hicho kilichoandikwa kwenye hiyo 'list' uliyoweka?Domo labda kwenye top20 uko View attachment 2279140
Anawatesa sana, na hapo bado vyombo vyote ukitoa Wasafi tu hawapigi nyimbo zake, wamehonga mpaka night clubs na sehemu za starehe wasicheze nyimbo zake, bila Diamond mngemjua Harmonize? hayo yote wanayoyafanya leo akina harmonize Diamond kayafanya miaka 8 ilopita.Domo kajiaribia mwenyewe na kiki zake za kibwabwa none take him serious
Ndio shida ya kuwa na watoto wa shule kwenye jukwaa moja madhara yake ndio hayaUmeelewa hicho kilichoandikwa kwenye hiyo 'list' uliyoweka?