Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akon kaingiaje hapo? Ka vp na Rick Ross aweko ni mnyakyusa yuleDomo labda kwenye top20 uko View attachment 2279140
Hivi mbona nyimbo za chinga zinasikika sana diamond si sana hatahata diamond amewahi kushindanishwa na akina TID na MR NICE[emoji16][emoji16][emoji16]ikaonekana kama utani sana kufanya hivyo,leo hii ni habari nyingine.
harmonize kwa hatua aliyofikia sasa hivi,kumlinganisha na diamond hakuna anashtuka,maana hawapishani kama ilivyokuwa yeye akitajwa na akina nature.na kama atakuwa hivi mwaka mmoja tu,diamond tutakuwa tunamuona kwenye rolls royce tu.
so watu wa usafini acheni roho za kutu,mond kafanikiwa sana ila sio kwamba hatakiwi mwingine kufika au kupita alipo.
chinga uwezo anao,na hata upumbavu wa kick za kifala anauweza.Hivi mbona nyimbo za chinga zinasikika sana diamond si sana hata