Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
Leo katika harakati za kujiandikisha vitambuisho vya utaifa Agent wao akakosea kuandika tarehe yangu ya kuzaliwa badala ya 15/01 yeye kaandika 15/10 ile ananiambia nikague info zangu ndo nikaona ilo...nikamuuliza hapa vipi akasema atarekebisha but akandelea na mtu mwingine!
Kwa wale wataalam nisaidieni je ni kweli inabadilishika? ?
Then kama tarehe ndo imekosewa ivo haitakuwa na athari?? Katika mambo yangu official ?
Asanteni!
Kwa wale wataalam nisaidieni je ni kweli inabadilishika? ?
Then kama tarehe ndo imekosewa ivo haitakuwa na athari?? Katika mambo yangu official ?
Asanteni!