Je,haya yanayotokea ulimwenguni yamepangwa?

Je,haya yanayotokea ulimwenguni yamepangwa?

Je mkuu feyzal kwenye hizo cartoon wanaonyesha TZ itajakuwa nchi yenye maendeleo na viongozi wenye kujitambua ,AU ita baki hivihivi kuwa shithool country
 
Angalia hii katuni chini
Wanakuambia ni Educated guess 😊
Screenshot_20240719-141110_Chrome.jpg
 
Una maana shetani ndo anatoa maudhui? Jana usiku niliutumia kuangalia hizi katuni dah nikasema kweli sisi ni vipofu.
EXACTLY.

Ana ongea na dunia wazi wazi kupitia hiyo series.
Inshort hiyo siyo katuni kama wengi mnavyo fikiria.

Its more than anything you can think or imagine. Kwa uwezo wa kibinadamu ni ngumu kuielewa.

SIMPSONS inaweza tabiri jambo litakalo tokea miaka 30 ijayo.

Ishu siyo ku present hilo jambo kwenye tv na watu waka cheka au kuangalia ishu ni nani aliye leta hilo wazo la kuhusu hilo jambo (AISEEE)

Sir God ali ruhusu shetani kutawala dunia, so huu ni uwanja wa 😈.

Everything is planned already ni suala la ku execute tuu, na ndiyo kama hivyo ila watu ngumu sana kuelewa sababu hata vyakula tunavyo kula hasa ugali na wali au vyakula vya kisasa hivi, tayari viko progrmaed kuua au kupunguza IQ ya binadamu lalahoi. Binadamu walio nje ya NEW WORLD ORDER.

Mambo ni mengi siwezi andika hapa ila kwenye ulimwengu wa roho yanayo endelea kwenye hii dunia YANATISHA.
NI heri usijue ujue machache tuu kuhusu MWENYEZI MUNGU.

MJUE MUNGU ZAIDI NA SIYO DINI, SHEKHE, PADRI WALA MCHUNGAJI.

KILA KITU KIKO PLANNED ALREADY.
 
Je mkuu feyzal kwenye hizo cartoon wanaonyesha TZ itajakuwa nchi yenye maendeleo na viongozi wenye kujitambua ,AU ita baki hivihivi kuwa shithool country
😁😁😁😁 Katuni zipo nyingi sana ila nilizoona nyingi zimebaze kwenye ulimwengu wa kwanza. Unajua hawa watu sisi hawatufikirii hata kidogo kwasababu tushajipiga lock wenyewe mfano mzuri msafara wa Rukwa juzi.
 
hapana Africa itainuka katika namna mbili kujitambua sisi wenyewe natuufanyie kazi utambuzi huo!,pili waliotufunika wapate chimbo jengine sasa sio leo...😅
Afrika haita inuka,sababu tunaendekeza ujinga mtu anawezaje kuiba bil 1 serikalini afu akaachiwa kirahisi tu,sheria kali zitungwe wachawi wote ikithibitishwa wauwawe hawa ni tatizo kubwa sana linalochukuliwa poa nchi ulaya zililiona hilo miaka ya 1500 wachawii wengi waliuliwa leo wana maendeleo kinachoendelea sasa mauaji ya watoto ni uchawi ushirikina na ubadhirifu ni tatizo Africa.
 
EXACTLY.

Ana ongea na dunia wazi wazi kupitia hiyo series.
Inshort hiyo siyo katuni kama wengi mnavyo fikiria.

Its more than anything you can think or imagine. Kwa uwezo wa kibinadamu ni ngumu kuielewa.

SIMPSONS inaweza tabiri jambo litakalo tokea miaka 30 ijayo.

Ishu siyo ku present hilo jambo kwenye tv na watu waka cheka au kuangalia ishu ni nani aliye leta hilo wazo la kuhusu hilo jambo (AISEEE)

Sir God ali ruhusu shetani kutawala dunia, so huu ni uwanja wa 😈.

Everything is planned already ni suala la ku execute tuu, na ndiyo kama hivyo ila watu ngumu sana kuelewa sababu hata vyakula tunavyo kula hasa ugali na wali au vyakula vya kisasa hivi, tayari viko progrmaed kuua au kupunguza IQ ya binadamu lalahoi. Binadamu walio nje ya NEW WORLD ORDER.

Mambo ni mengi siwezi andika hapa ila kwenye ulimwengu wa roho yanayo endelea kwenye hii dunia YANATISHA.
NI heri usijue ujue machache tuu kuhusu MWENYEZI MUNGU.

MJUE MUNGU ZAIDI NA SIYO DINI, SHEKHE, PADRI WALA MCHUNGAJI.

KILA KITU KIKO PLANNED ALREADY.
Shukrani mkuu,be blessed
 
😁😁😁😁 Katuni zipo nyingi sana ila nilizoona nyingi zimebaze kwenye ulimwengu wa kwanza. Unajua hawa watu sisi hawatufikirii hata kidogo kwasababu tushajipiga lock wenyewe mfano mzuri msafara wa Rukwa juzi.
Ukweli mchungu huu 👆 , Niko hapa mgahawani natamani kulia kabisa 🥺tz 🇹🇿 my country
 
Ukweli mchungu huu 👆 , Niko hapa mgahawani natamani kulia kabisa 🥺tz 🇹🇿 my country
Ndo hivyo mfano mzuri Maradona mara kadhaa kathibisha kua waliiba,wanaiba na wataiba kula ila hakuna anayejali.
Ukweli mchungu huu 👆 , Niko hapa mgahawani natamani kulia kabisa 🥺tz 🇹🇿 my country
 

Attachments

  • 20240718_082758.jpg
    20240718_082758.jpg
    122.2 KB · Views: 8
Habari ya wakati huu.

Wakuu mimi sio muandoshi mzuri ila kuna jambo nimeliona kule mtandao wa X kutoka kwenye akaunti fulani akizungumzia habari za matrix na mambo kadhaa ya ulimwengu kwa mifano ameonesha yote yanayotokea sasa yalishapanga yamekua programmed na system za giza zinazotawala ulimwengu.

Hapa nazungumzia yale matukio ya kuogofya ambayo sio majanga ya asili. Mtoa mada yule aliweza kuchapisha makala mbalimbali kuonesha hayo, binafsi naelewa vipo vitu vingi vya siri ulimwenguni na mambo ya giza ila sikuona ushahidi wa wazi ila huyu mdau wa X baada ya kuweka chapisho lake akataja na katuni fulani ambazo zimetabiri mambo mengi sana zinaitwa Simpson. Ikanilzimu niende kuangalia huko youtube duh ebwana kumbe kweli mambo kibaoa yalishatabiliwa kupitia katuni hizi miaka kadhaa iliyopita ikiwemo ishu ya Donald Trump kurudi tena madarakani na kunisurika kifo.

Hapa naona kabisa kuna mambo yanachezwa na watu wenye ulimwengu huu kwasababu hakuna utabiri wa namna hii wa picha kabisa tena unahusu jambo fulani na kweli yanatokea miaka kadhaa mbele kumbe Kuna wahuni wanaendesha hii dunia hao ndo wanaamua iendaje.

Hapa nimeweka baadhi ya screenshot na video ya katuni hizo. Unaweza kwenda Youtube pia ukajionee hizi katuni za Simpsons.
Simpson's ni noma , wanasema accuracy yake ni kubwa mno , kila unaloliona humo kwenye hizo katuni lilishatokea au kama halijatokea lina probability kubwa ya kutokea .
Kuna rumours kuwa mwanzilishi wa Simpson's alikuwa ni member cult (Illuminati ) , so Simpson's zikawa kama mouthpiece ya illuminati
 
Inawezekana ila huyo jamaa hajui kitu ....Wazungu wanatumia pesa ndefu kweny katuni sio kwamba hawana akili ni wajanja sana m kuna ujumbe wanawasilisha
Ni kweli tena kwasasa wanapandikiza mambo yao kwa watoto ,watu wazima katuni hawatafuatilia. Mpaka ishu mapapa watatu nimejulia humo jana aisee.
 
Afrika haita inuka,sababu tunaendekeza ujinga mtu anawezaje kuiba bil 1 serikalini afu akaachiwa kirahisi tu,sheria kali zitungwe wachawi wote ikithibitishwa wauwawe hawa ni tatizo kubwa sana linalochukuliwa poa nchi ulaya zililiona hilo miaka ya 1500 wachawii wengi waliuliwa leo wana maendeleo kinachoendelea sasa mauaji ya watoto ni uchawi ushirikina na ubadhirifu ni tatizo Africa.
😂😂sahihi kabisa wachawi wauwawe
 
The simpsons ina seasons 35, episodes 768.

Kwa kiwango hichi kikubwa cha episodes, ingeshangaza zaidi kama wasingeweza kutabiri chochote.

Na pia zingatia hiyo show imeanza 1989. Ni kitambo sana kwahiyo inawezekana kuna vitu waandishi waliviandika zamani kama utani halafu vikatokea kweli kibahati tu

Kuna tabiri nyingi mno ambazo hazijawa kweli pia, nyingi kuliko zilizotimia

Na hii the simpsons imekuwa maarufu tu, shows zote zinazoandikwa kupitia mambo yanayofuatiliwa sana(pop culture) mfano American dad, family guy, futurama zipo hivyo

Mfano inasemekana walitabiri trump kugombea uraisi 2015/2016 lakini trump alikuwa akizungumzia hilo suala tokea 1999, ndo waandishi wakaliingiza kwenye show mwaka 2000
 
Yule aliye mkufuru Muumba wa hii dunia ndiye anaye toa maudhui hapo SIMPSONS.

Nadhani inatosha kujua hilo tuu.

Mimi nilijua kuhusu ukweli wa kutisha wa hiyo series toka huko kwenye DARK INTERNET AU DARK WEBS.

HIZO HUWEZI ZIPATA KWENYE INTERNET YA KAWAIDA, NI NGUMU KUMWAGA MCHELE HAPA.

But no vitu vya kutisha sana aisee.

Hata hizi series tunazo ziona sasa hivi ni agenda zao za kutisha, kila kitu kwenye hii dunia kina endeshwa na kiko planned tayari.
Acha kutisha watu wewe
 
Una maana shetani ndo anatoa maudhui? Jana usiku niliutumia kuangalia hizi katuni dah nikasema kweli sisi ni vipofu.
Vipi hadi vitabu kabisa , nitakuwa na uppload humu kimoja baada ya kingine
Maana si rahisi kuvipata kwenye websites hizi za kawaida za vitabu ,mpaka uzame deep web (dark web)
Baadhi ni hivi
Yaani ukiwa unapitia hizi cartoons tuliza akili kuna vitu vingi utagundua
Hawa washenzi wameweka ujumbe mzito sana kwenye hizi series
 

Attachments

The simpsons ina seasons 35, episodes 768.

Kwa kiwango hichi kikubwa cha episodes, ingeshangaza zaidi kama wasingeweza kutabiri chochote.

Na pia zingatia hiyo show imeanza 1989. Ni kitambo sana kwahiyo inawezekana kuna vitu waandishi waliviandika zamani kama utani halafu vikatokea kweli kibahati tu

Kuna tabiri nyingi mno ambazo hazijawa kweli pia, nyingi kuliko zilizotimia

Na hii the simpsons imekuwa maarufu tu, shows zote zinazoandikwa kupitia mambo yanayofuatiliwa sana(pop culture) mfano American dad, family guy, futurama zipo hivyo

Mfano inasemekana walitabiri trump kugombea uraisi 2015/2016 lakini trump alikuwa akizungumzia hilo suala tokea 1999, ndo waandishi wakaliingiza kwenye show mwaka 2000
Niko upande wako mkuu!
 
Back
Top Bottom