Je,haya yanayotokea ulimwenguni yamepangwa?

- Season epsode ya 11 ya mwaka 2000 (Bart to the Future) ilitabiri Donald Trump atakuwa president.
  • Season episode ya 23 ya mwaka 2012 (Lisa Goes Gaga) ilimuonyesha lady Gaga akiwa amevaa mavazi fulani akitumbuiza, mwaka 2017 kwenye super bowl alivaa mavazi yale yale na kufanya matendo yale yale.
  • mwaka 2010 walisema Bengt R Holmstrom atashinda Nobel Prize ikatokea kweli miaka 6 baadae akiwa na Oliver Hart
Kitabu kinaitwa end of time prophecy kiliongelea kuja kwa corona virus na ikawa kweli.
 
Shukrani nitavipitia
 
Hivi nikwamba leo ndio umejua hilo?? Kua dunia ni matrix.
Mbona hua nafundisha sana kuhusu hilo.
Kwa taarifa kamili nikwamba upo kwenye matrix100%
ila huwezi nielewa.
Usichanganye vitu man,mimi najua sana kuna mambo ya siri yanaendelea ila sikuwahi kuwaza kua kuna katuni imefunua mambo mengi kwa maigizo tena ikitumia image zile zile za wahusika.
 
Kuna hichi kitabu cha the secret terrorist hii kitu ukisoma unaweza kuzimia namna dunia inavyo endeshwa kwa uongo mfano vita ni mipango ya watu flani ili kutimiza mipango yao tukio kama la 9/11, kuzama kwa meli ya titanic nk . Mwandishi kagusa hadi dini mfano kwanini ukristo umekuwa na madhebu mengi pia kagusia dini ya Uislam kwamba ilianzishwa ili ilete usawa na pia itumike pale ambapo vatcan itashindwa kupenya. Tunaishi kwenye ulimwengu hatari tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…