Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Kumekuwa na tetesi kuwa Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni ngumu sana kuthibitisha kwa kusemaKumekuwa na tetesi kuwa Mke Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
Mzee wa miaka 80 plus unatarajia asigande ndugu? Marekani nao sometimes hawa akili sawasawa. Unampaje uraisi mtu mwenye miaka 82?Kuna wakati anaganda, sasa sijui kawekewa betri za mchina
Roboti liwe na damu liende labour' wewe ni kilaz sanaKumekuwa na tetesi kuwa Mke Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
Ujinga huoKumekuwa na tetesi kuwa Mke Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
Nikifa MkeWangu Asiolewe 😂😂😂😂😂Mwanaume kuwa mbeya ni hatari si Kwa familia na jamii tu ni hatari hata Kwa Taifa.
na ni hatari zaidi kwenye mareeeendeeeer yakeMwanaume kuwa mbeya ni hatari si Kwa familia na jamii tu ni hatari hata Kwa Taifa.
Wewe umesikia wapi?Kumekuwa na tetesi kuwa Mke Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.