and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Bila video ni ushuzi mkuu. Hata kapicha au Ka link mkuu.
Mzee wa miaka 80 plus unatarajia asigande ndugu? Marekani nao sometimes hawa akili sawasawa. Unampaje uraisi mtu mwenye miaka 82?
Hongera ila shida hutupiagi code bro
?Mwanya _ Toothgap😁
Kisogo_Rearhead😁
Hii ni kwa mujibu wangu msimeze kibwege
Network zake zinashida
Hizi stori ni za Vijiwe vya Gahawa huku mkishushia na kashata za KarangaKumekuwa na tetesi kuwa Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
Mkewe amshauri apumzike nymbani, amechoka huyu mzee, anajikaza sana lakini hali aliyofikia anapoteza memory.Kazeeka sana.Network zake zinashida
Watu wenye nguvu wapewe madaraka sasa hivi hawezi tenaMkewe amshauri apumzike nymbani, amechoka huyu mzee, anajikaza sana lakini hali aliyofikia anapoteza memory.Kazeeka sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa miaka 80 plus unatarajia asigande ndugu? Marekani nao sometimes hawa akili sawasawa. Unampaje uraisi mtu mwenye miaka 82?
Inawezekana wanaoamini hivyo ndiyo wakawa marobotiKumekuwa na tetesi kuwa Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.