jovas jonathan
Senior Member
- Apr 7, 2019
- 193
- 275
Kwa hivo mama yuakwama wapiKwa hii KATIBA tuliyo nayo inampa mamlaka makubwa sana Rais wetu na AKITOKA MUNGU ANAFUATIA RAISI WA NCHI.......
Hata wewe Jemima Mrembo akiukwa U Madam president Kwa katiba yetu unaweza tengeneza strong institution yako na ukafanya utakavyo nakuifanya nchi kua kama ZIMBABWE ya MUGABE [emoji4][emoji4][emoji4]
Inaitwa ushindwe mwenyewe 😊Kwa hivo mama yuakwama wapii
Kila kifanywacho au kubebwa na mtawala kina maana yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Acha bwana!
Ushirikina ni global tofaut ni aina tu lakini maana ni ileileUliona nadhani masiku ya kusimikwa mfalme wa sasa wa uingereza namna matambiko yalivokuwa yanafanyika.
Huku kwetu yakifanyika mnasema ushirikina kwa wazungu mnasema Ni jadi yao.
yawezekana, maana kuna kiongozi mmoja alishatamka "Mh Mungu..." badala ya Mh Rais, kama si nguvu ya ushirikina ni nini hapo ndugu zangu.Tuanzie hapo kwenye ubaridi,je wewe ulishawahi kuitwa ofisini kwake na ukapata huo ubaridi au unasimuliwa tu?