Mkuu NARUDIA, achana na habari za Mmoja Mmoja, Ukweli ni kwamba, watu wa Kanda ya ziwa Kwa Tanzania, ndio watu ambao unaweza sema ni waisrael !!.
Kuhusu kumvimbia JPM, nmesema hapo, kua Kanda ya ziwa akikutana na Kanda ya ziwa mwenzake, hapo Huwa mwenye mamlaka au nguvu ndo anayetamba, wewe utalazimika tu kumtii na kumpa Heshima.
Wanauza mayai Kwa sababu watu wa Dar ni wajinga, legelege, wanapenda mambo ya kipuuzi, Kanda ya ziwa ni wachapa kazi, hawabagui kazi, ndio maana DAR, IMEJENGWA NA MAKABILA.
Mimi mwenyewe ,Wazazi wangu Wana mijengo ya maana huko ipatayo Mitano, + Nyumba za wapangaji .
Wachaga Sasa ndio Usiseme.
Watu wa iringa na waha ,ndo Usiseme.
Unasema nn?? Dar haijengwi na waswahili hao, Wala sembe na matembele na kupenda starehe huku kazi ni sifuri..
Nimesoma Dar toka darasanpa kwanza mpaka kidato cha Sita, waswahili wa Dar walikua wananiogopa sana, wananiita wa Bara .!!.
Dar, Pwan, mtwar Lindi, Moro, zina Binadam wa ajabu kwelikweli !.