Hili liko wazi Mkuu, Kanda ya ziwa Haina uswahili ,hamna uswahili kabisaa .
Kwetu sisi, Nyeupe ni Nyeupe...Nyeusi ni nyeusi ,kujiamin, uthubutu ,Uwezo mkubwa wa Akili ,Hatuna Ubinafsi , tu wenye maono n.k !!.
Kwa mfano Mimi mwenyewe, Huwa nikiingia kwenye Ofisi za watu, Wewe Boss, utajikuta unanitetemekea Mimi, hili limekua linafanya nahudumiwa haraka haraka Kwa sababu uwepo wangu pale uwa kama Swala kamuona Simba .
Hata Kazini , wananiogopa japokua Nina mwili wa kawaidaaaa, ila wananiogopa mno Hawa waswahili.
Sisi tunapokutana wenyewe Kwa wenyewe, hapo ngoma ndio Inakua nzito.
Lkn unikutanishe na waswahili [emoji1787][emoji1787]