Ruwamangi
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 1,292
- 2,382
hii mambo ya ndumba za kuvaa hirizi au kuchanjia sura za wanyama zipo lakini kwa mwendazake sijui ingawa alikuwa na utiisho kweli kweli.
kuna mzee mmoja kwetu alikuwa jamii ya magufuli alikuwa akiogopeka sana akitokea mahali mtastuka akiingea jambo wote mtakubaliana nae. ukiikingia kwenye anga zake umekwisha! likaibuka jina la chui akawa anaitwa chui.
huyu mzee pia ni muumini wa ushirikina
nikaja nikaunganisha dot nikagundua huyu mzee aliunganisha (Maagano)damu yake na mnyama chui ili aogopeke.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mzee mmoja kwetu alikuwa jamii ya magufuli alikuwa akiogopeka sana akitokea mahali mtastuka akiingea jambo wote mtakubaliana nae. ukiikingia kwenye anga zake umekwisha! likaibuka jina la chui akawa anaitwa chui.
huyu mzee pia ni muumini wa ushirikina
nikaja nikaunganisha dot nikagundua huyu mzee aliunganisha (Maagano)damu yake na mnyama chui ili aogopeke.
Sent using Jamii Forums mobile app