Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kwa hiyo mmempotezea kabisa Mwenyekiti wa Chama?Unakumbukwa kupitia miradi yako
Hata miminsioni kumbukizinya mkapa. Da mam kweli the weledi is not fareNdio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.
Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.
Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je tarehe yake ya maombolezo ni lini?
Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Yaani aisee.....people ziko kimaslahi sana.Hata miminsioni kumbukizinya mkapa. Da mam kweli the weledi is not fare
Inasikitisha sanaUnakumbukwa kupitia miradi yako
Magu ni ajili ya kura za kanda ya ziwa maana kifo chake ni cha ghafla sn mkuu, pia ukabila ujue lile ni kabila kubwa sn lazima uendelee kulibebabeba, 2015 angekuwa Membe kura za kanda ya ziwa zote zingeenda kwa Lowasa na kusingekuwa na namna ya kumshinda Lowasa hata kuiba ingekuwa ni aibu lakini kupitia Magu upepo uligeuka sn, Makonda na Dotto wapo pale kusaka kura za kanda ya Ziwa wala maza hawakubali hata kidogo. AsanteNdio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.
Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.
Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.
Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.
Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?
Je tarehe yake ya maombolezo ni lini?
Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Kwani unadhani maza watu wanamkubali au wanataka madaraka pekee?Yaani aisee.....people ziko kimaslahi sana.
Jamaa aliwapa favour sana watu wakateuliwa ubalozi, ukurugenzi, uwaziri, ubunge, umakamu n.k lakini woote wamemtupa
Kama ilivyo kwa wengine waliopita na yeye yanaweza kumtokea.Kwani unadhani maza watu wanamkubali au wanataka madaraka pekee?
Haaaa asante kwa comment yako.Magu ni ajili ya kura za kanda ya ziwa maana kifo chake ni cha ghafla sn mkuu, pia ukabila ujue lile ni kabila kubwa sn lazima uendelee kulibebabeba, 2015 angekuwa Membe kura za kanda ya ziwa zote zingeenda kwa Lowasa na kusingekuwa na namna ya kumshinda Lowasa hata kuiba ingekuwa ni aibu lakini kupitia Magu upepo uligeuka sn, Makonda na Dotto wapo pale kusaka kura za kanda ya Ziwa wala maza hawakubali hata kidogo. Asante
Lakini hawa wa siku hizi hawategemei kura, unalifahamu hilo?Magu ni ajili ya kura za kanda ya ziwa maana kifo chake ni cha ghafla sn mkuu, pia ukabila ujue lile ni kabila kubwa sn lazima uendelee kulibebabeba, 2015 angekuwa Membe kura za kanda ya ziwa zote zingeenda kwa Lowasa na kusingekuwa na namna ya kumshinda Lowasa hata kuiba ingekuwa ni aibu lakini kupitia Magu upepo uligeuka sn, Makonda na Dotto wapo pale kusaka kura za kanda ya Ziwa wala maza hawakubali hata kidogo. Asante
Ok, tusema uchawa hakuna lakini Chama kina mkakato gani kumkumbuka huyu Mwanamapinduzi wa Uchumiuchawa umeasisiwa juzi tu wakati wa zama za mwendazake.
nadhani watu hawamjui mkapa vizuri.Yule mwamba ungemfikiaje na uchawa wako?!
Kabisanadhani watu hawamjui mkapa vizuri.
Yule baba hakuwahi kuoeleka na hakupenda watu wa kujipendekeza.
Alikuwa mtu seruous sana
Hahaa lakini na yeye alikuwa mfia chama badala ya Taifa kama wengine tuMkapa hakupenda ujingujing
Mkapa utaanzaje kumvamia na kumsogelea na mongering yako
Ya kiudaku udaku
Ova
Hawamtaki hata kidogoKama ilivyo kwa wengine waliopita na yeye yanaweza kumtokea.
Chawa ni chawa tu. Wananangalia maslahi yao tu.